Search results

  1. palahingwe

    Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

    mh! unatuficha tuu! ushakuwa mwnga ndugu..
  2. palahingwe

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    hv kuna viongozi wenye kauli mbaya kama ccmnopq' mkuu..
  3. palahingwe

    Msaada wadau, naombeni kujua hasara na faida za "ingredients" zilizopo kwenye maji

    Wadau natakunguliza shukrani kwenu kwa majibu ntakayopata naamini ntakuwa nimejifunza jambo, mfano; TDS 40, CALCIUM 4, MAGNESIUM 12, SULPHATE, CLORIDE na nyinginezo. Naomba kujua kwanini zipo zinawekwa kwenye maji, na zina faida au hasara gani? na zinatengenezwa na nini? Kwenye chupa za maji...
  4. palahingwe

    Wadau: Kuwahi kumaliza Tendo la Ndoa na kuchelewa kipi kina madhara? Na kipi ni sahihi?

    mh! iwe slow halfu chiu ya manzi iwe haibani, au unaelea itakuwje..:rolleyes::p
  5. palahingwe

    Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

    fanya kitu fanya kitu moyo unapenda huwez jua! maana sidhan kma wote ulimwengun tutaoa au kuolew..
  6. palahingwe

    Wadau: Kuwahi kumaliza Tendo la Ndoa na kuchelewa kipi kina madhara? Na kipi ni sahihi?

    Habari ndugu zangu Naombeni msaada wa kutambua kuhusiana na hoja tajwa hapo juu. Generation ya leo tunashuhudia vijana, na hata rika za kati kwa madai ya kuwahi kumaliza tendo la ndoa na wengi wao kutafuta dawa kukabiliana na tatizo.
  7. palahingwe

    Wazo Langu kuhusu Kanuni mpya ya mafao ya kustaafu kwa wätumishi

    :D:D:D:D:D:D:D:p:p:p:p:p :) :D:):D:D
  8. palahingwe

    Wazo langu! Ingependeza kama zoezi la Sensa lingeambatana na upimwaji wa Virusi vya Corona

    Ningekuwa mwanasiasa au nipo kwenye kiwango cha kusikilizwa na Serikali bila kupingwa kwa asilimia kubwa, basi ningeishauri Serikali kila kipindi cha Sensa kuwe na taratibu za upimaji COVID-19 na maradhi mengine makubwa ya kuambukiza.
  9. palahingwe

    Naombeni kujua kwa nini binadamu haoni gizani?

    Choggagrandson, Shukran wapendwa
  10. palahingwe

    Naombeni kujua kwa nini binadamu haoni gizani?

    kuna mtu kanambia kuna uhusiano kati ya mwang wa jua na kuona! ni ya kweli boss.
  11. palahingwe

    King Kiba anaendelea kupiga pesa kwenye kustream

    na ww unapiga pesa wapi boss..!
  12. palahingwe

    Naombeni kujua kwa nini binadamu haoni gizani?

    Habari wana jamii! naomben kujua kuhusu hili! Kwanini binadamu haoni gizani?:rolleyes:
Back
Top Bottom