Watu wengi hasa Wafuasi wa CHADEMA tangu Rais Magufuli amsifie Mhe Mbatia hadharani walianza kudhani ni msaliti wa Magruzi, na kuita chama cha NCCR Mageuzi kuwa ni CCM B.
Wakimaanisha NCCR Mageuzi ni mpango wa CCM. Wengi wakaongeza porojo eti NCCR Mageuzi wameahidiwa majimbo 20 mara 50 ambayo...
Ndugu wana bodi.
Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka huu 2020. Yaani mgombea Urais.
Ukweli ni kwamba kati ya watu 8...
Sasa hivi.
Hapa jirani na Hotel ya Blue Sky mjini Tarime ambako kulikua kinaendelea press ya Madiwani wa Chadema Tarime kujiunga na NCCR Mageuzi ghafla kikundi cha Wapiganaji wa Redbrigade wa Chadema kimevamia gari na kupasua kioo cha nyuma.
Bahati nzuri picha yote imerekodiwa.
Majina na...
Tangu jana jumapili tarehe 29.03.2020. Mwanamageuzi mkongwe zaidi alikuwepo CHADEMA Bw Komu (Mb) Moshi Vijijini. Kutangaza kuwa mwaka 2020 atakihama chama chake cha cha sasa CHADEMA na kuhamia NCCR Mageuzi chama chake cha zamani Mara tu baada ya kipindi chake cha ubunge kukamilika mwezi July...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.