Search results

  1. K

    Kanisa la KKKT Makongoro, Furahisha Mwanza lafanya ibada ya kumuombea Freeman Mbowe, wafuasi wa Chadema wafurika

    Haha. Pala Kimara aliletwa Mchungaji siyo mchanga. Wachaga wote wakagoma kutoa sadaka.
  2. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Tulia wewe. Serikali imeona hakuna hitaji la kupanua chuo husika kwa Sasa bali kurelocate period.
  3. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Wapi. Zama zimechenji mzee zama za kurundika taasisi za umma Moshi zimeisha. Sasa ni zama za even development. Njombe inaongoza kwa mistu East Africa lakini wajanja wakapeleka chuo kwao.
  4. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Kuna mikoa haina taasisi ya umma hata mmoja. Sasa mikoa iliyorundikiwa taasisi itulie kwanza.
  5. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Kwa hiyo unaona sawa mikoa mingine kutokua na taasisi za umma. Chuo Cha Wanyamapori Ushirika, FITI na makumi zaidi Moshi. Mikoa mingine inachekwa tu.
  6. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Hujui lolote. Hifadhi ya Mt Kilimanjaro hakuvunwi miti wewe. Miti kwa wingi inavunnwa Njombe naTabora huko ndiko chuo hupaswa kuwepo. Mangi usipende kufaidi kwa mitelemko
  7. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    Wachaga walipeleka fursa zote kwao.
  8. K

    Dkt. Ndumbaro sababu hizi hazitoshi kuhamisha FITI-Moshi

    chuo kujengwa Moshi lilikua kosa. Misitu iko Iringa chuo Moshi. Mi naona Mhe analekebisha makosa. Ili kurahisisha ujifunzaji.
  9. K

    Waasi wa Tigray wapuuza usitishaji wa vita wa Ethiopia

    Haha. Ideally. Lakini practical imeleta vurungu sehemu nyingi Africa. Huwezi kuwa na autonomy goverment Africa utegemee utulivu. Jimbo lazima litakua na ukabila pia. Huwezi tenganisha Jimbo la Ziwa na Usukuma mathalani. Jimbo linaweza kuja na bylaw mfano Ethiopia Oromia in by law Kila kampuni...
  10. K

    Waasi wa Tigray wapuuza usitishaji wa vita wa Ethiopia

    Pole Boss. Nawaza Sera ya Majimbo Ya CHADEMA. Ingetawala Tanzania, Sasa hivi tungekuwa na majeshi ya Majimbo. Huko Nigeria pia majimbo yanatafunana.
  11. K

    Waasi wa Tigray wapuuza usitishaji wa vita wa Ethiopia

    Kama unasimanga kabila fulani hiviTanzania
  12. K

    Mchekeshaji Mchopanga na Nyota ya Rais Zelensky wa Ukraine

    Shida ya upinzani Tz hasa Chadema wamejaa haters
  13. K

    Huwezi kuichafua oil chafu, itakuchafua. RIP Dkt. Magufuli

    Naona kuna oparation ya kumchafua Rais Magufuli nawaambie Magufuli kaacha vitu vinayoonekana. Nashauri wanaomchafua wabomoe Ikulu ya Dom Stend za mabasi alizojenga. Wabomoe SGR Wabomoe bwawa la umeme Wabomoe daraja jipya Salenda Wabomoe daraja la Busisi Wachome ndege Wabomoe ma fly over Wabomoe...
  14. K

    Wanyonge hatuna chetu awamu hii

    Samia ni Kikwete mwanamke
  15. K

    Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

    Kwani wote hao waliwahi kuwa makamu wa Rais. Issue ni tangu uhuru hadi sasa hajawahi kuwepo makamu wa Rais ama Rais mkristo asiyekuwa Mkatoliki yani mkristo mprosetitant ama mpentekost.
  16. K

    Ule ukabila vipi?

    Alibadili kabila baada ya KM wa CDM. Huyo Dalali ni baba yake wa kufikia yeye baba yake mzazi anaitwa Mnyika
  17. K

    Ule ukabila vipi?

    Nchi hii kabila lenye rekodi kubwa ya wizi ni wachanga na kilimanjaro. 1. Mgonja 2. Mramba Nk kabila la mafisadi
  18. K

    Ule ukabila vipi?

    Chuki tu. Wasukuma ni jamii kubwa ambayo haijawahi kusubiri uteuzi kuendesha maisha yao
Back
Top Bottom