Wapi. Zama zimechenji mzee zama za kurundika taasisi za umma Moshi zimeisha. Sasa ni zama za even development. Njombe inaongoza kwa mistu East Africa lakini wajanja wakapeleka chuo kwao.
Hujui lolote. Hifadhi ya Mt Kilimanjaro hakuvunwi miti wewe. Miti kwa wingi inavunnwa Njombe naTabora huko ndiko chuo hupaswa kuwepo. Mangi usipende kufaidi kwa mitelemko
Haha. Ideally. Lakini practical imeleta vurungu sehemu nyingi Africa. Huwezi kuwa na autonomy goverment Africa utegemee utulivu. Jimbo lazima litakua na ukabila pia. Huwezi tenganisha Jimbo la Ziwa na Usukuma mathalani.
Jimbo linaweza kuja na bylaw mfano Ethiopia Oromia in by law Kila kampuni...
Naona kuna oparation ya kumchafua Rais Magufuli nawaambie Magufuli kaacha vitu vinayoonekana.
Nashauri wanaomchafua wabomoe
Ikulu ya Dom
Stend za mabasi alizojenga.
Wabomoe SGR
Wabomoe bwawa la umeme
Wabomoe daraja jipya Salenda
Wabomoe daraja la Busisi
Wachome ndege
Wabomoe ma fly over
Wabomoe...
Kwani wote hao waliwahi kuwa makamu wa Rais. Issue ni tangu uhuru hadi sasa hajawahi kuwepo makamu wa Rais ama Rais mkristo asiyekuwa Mkatoliki yani mkristo mprosetitant ama mpentekost.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.