naomba nisaidiwe kwa hili, ni process zipi unatakiwa kuzifuata ukitaka ku adopt mtoto Tanzania? nipo nje, nataka nirudi home ni adopt mtoto.(mtoto wa ndugu yangu)
nahitaji kujua process za mtu ambaye ana uraia wa bongo na mtu ambaye hana uraia wa kibongo, ni tofauti au ni sawa? kuna ugumu wowote?
kabla ya hii topic nilikuwa simjui ney wa mitego, nimeenda youtube na kusikiliza wimbo wa itafahamika, ni balaa, imetulia, nausikiliza kila dakika, acha nijaribu na hizo nyimbo zake nyengine nione amevurugaje.
you r right, nilipoona jamaa bado ameng'ang'ania ikabidi nimkatie mawasiliano na kumwambia asije nyumbani. He still in love with me till today,its about 10 yrs ago. I think Im gonna marry him.
nahitaji blackberry curve yeyote ile hata 8310 poa tu, nipe bei, isiwe ya kichina, new or used, napatikana Dar Mikocheni, nitakufuata popote ulipo,isiwe nje ya dar, ila kibaha, bagamoyo naweza kuifuata kama bei ikiwa nzuri.
ndio tatizo la kukosa majukumu, kwenye nchi yake umeme upo, barabara nzuri, kazi zipo, hospitali za maana, usipokuwa na kazi unapata benefit. kwahiyo hana kazi ya kufanya zaidi ya kutangaza ushoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.