"Usinipite mwokozi, Unisikie,
Unapozuru wengine, usinipite.
"Yesu, Yesu! Unisikie,
Unapozuru wengine, usinipite.."
______________________________________
Ni wimbo ulioandikwa mwaka 1868 na mwanamama Fanny Crosby, aliyezaliwa katika kijiji cha Brewster huko New York, Marekani.
Wimbo...
"Usinipite mwokozi, Unisikie,
Unapozuru wengine, usinipite.
"Yesu, Yesu! Unisikie,
Unapozuru wengine, usinipite.."
______________________________________
Ni wimbo ulioandikwa mwaka 1868 na mwanamama Fanny Crosby, aliyezaliwa katika kijiji cha Brewster huko New York, Marekani.
Wimbo...
Dar es Salaam. Takwimu mpya za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), zimeutaja mtandao wa simu wa TTCL katika nafasi ya mwisho kwenye kipengele cha ubora wa huduma, huku mtandao wa Tigo ukiongoza.
Katika ripoti ya robo ya nne ya mwaka 2023 iliyotolewa mwanzoni mwa wiki, kampuni ya TTCL...
USIKIVU HAFIFU (HARD OF HEARING)
Kwa wale wenye kusumbuliwa na masikio,uziwi na hata usikivu hafifu. Baadhi hamna ujasiri wa kujiweka wazi kwa wengine kuhusu changamoto mliyonayo.
Yaani mnashindwa kusema kuwa nina changamoto ya masikio. Mimi sisikii vizuri. Mimi nina tatizo la kutosikia...
Chama Cha Mapinduzi wa Iringa kwa kushirikiana na Mawakili wa TLS pamoja na Wanasheria toka Jumuiya ya Wanawake Taifa kufuatia Tamko la Mwenyekiti Merry Chatanda kuhusu kesi ya mama Maria Ngonda aliyehukumiwa miaka 22 kisa nyama ya swala jopo hilo lilifika gerezani na kuzungumza na mama huyo ili...
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa wameanzisha kampeni ya kumsaidia kisheria mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa na Mahakama ya Mkoa wa Iringa kifungo cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.
Hukumu hiyo ilitolewa...
Aliyewahi kuwa kocha wa Simba SC Sven Van Dabroek ambaye alifundisha FAR Rabat na Wydad Casablanca zote za nchini Morocco kisha akafundisha CR Belouzdad ya nchini Algeria anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Robertinho.
Kocha huyo kutoka Ubelgiji anatajwa kuwa chaguo la kwanza la uongozi...
Kondakta wa daladala Dar es Salaam huamka saa kumi alfajiri na kukutana na dereva wake sehemu wanapolaza gari lao.
Mpaka wakitoka hapo kuingia barabarani kuanza kazi huwa saa kumi na moja imeshafika. Wanaanza kupiga mzigo, kufanya kazi mwanzo mwisho, kama unavyofahamu, majukumu ya konda wa...
Habarini zenu
Leo katika pitapita zangu huko mkoa wa Morogoro maeneo ya Ifakara ndanindani nikamuuliza mwenyeji wangu yeye ni kabila gani?
Akajibu ni Mndelwe, nikashangaa ndio kwanza nalisikia leo hili kabila sijui wametokea wapi hawa sijui ni wahamiaji haramu?
Mwenye kulifahamu ili kabila...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu mwenzetu, rafiki, Kanungila Karim amefiwa na baba yake mzazi! Msiba upo Morogoro, Kilombero.
Binafsi nachukua nafasi hii kumpa pole sana sana, Mwenyezi MUNGU akawape subra na wepesi katika kipindi...
Hii PDF niliyoweka hapo chini kila mmoja ha akikishe ameifungua n ame apply kazi anayoiweza maana Pana fursaa za kilaa aina, hizo ni kazi katika taasis za umma Tanzania, kazi zilizopo hapo n zifuatazoo
- Afisa maendeleo ya jamii(community development officers nafasi 800
-Wasaidizi wa jikon 4...
KMtu mmoja alikwaruzana na mkewe kwa sababu alikuwa anahitajika akitoka ofisini kwake ampitie mkewe ofisini pia, kisha waondoke kwenda nyumbani, na hii ndiyo ratiba yao ya kila siku.
Sasa siku hiyo, kama kawaida, muda ulivyofika jamaa alitoka ofisini, akawasha gari, safari ya kuelekea ofisini...
TTCL imezindua Minara sita ya Mawasiliano katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi ili kuimarisha huduma ya upatikanaji wa Mawasiliano kwa Wananchi.
Uzinduzi huo umefanywa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye (Mb) ambaye pamoja na mambo mengine amesema Serikali...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mwisho wa mwezi huu Serikali inatarajia kutangaza bei mpya za vifurushi vya simu, ili kila Mtanzania amudu kuvitumia.
Kauli hiyo aliitoa juzi, wakati wa uzinduzi wa mnara uliojengwa na mfuko wa mawasiliano kwa wote kwa...
Acheni kabisa kuhusu huu mtandao. Aliyeutengeneza huu mtandao alikaa chini na kuumiza sana akili. Yaani ndani ya TikTok kuna vitu amazing.
1. Movie kama zote, yaani ukiuliza hii movie inaitwaje unapata jibu chap. Movie nyingi nimezijulia kule.
2. Nyimbo nyingi sana zipo kule, yaani nikiangalia...
JANA nilipokuwa UTV (Azam TV), nikifanya mahojiano kipindi cha Morning Trumpet, niliulizwa maoni yangu kuhusu mabadiliko ambayo Rais Samia aliyafanya juzi (Mei 3), Ikulu na Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss).
Nilijibu kuwa sikuona msingi wowote wa kumwondoa Diwani Athuman Tiss, alipokuwa...
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili, Mirembe wameeleza namna wanavyopigwa na wagonjwa wa akili wakati wakiwahudumia, ikiwemo kujeruhiwa na kutemewa mate.
Takwimu za matukio ya namna hiyo zilizotolewa na hospitali hiyo zinaonyesha kuwa wauguzi watano walipigwa, mmoja alivunjwa mkono...
SIFA ZA KING'AMUZI CHA CANAL+
1. Bei ya decorder pekee ni Tsh 130,000/=, bei ya decorder na dish(complete) ni Tsh 165,000/=.
Vyote hivi vitakuwa na kifurushi cha Tsh 40,000/= kwa mwezi mmoja bure.
2. Kupitia hicho kifurushi cha kuanzia utafanikiwa kuangalia mechi za ligi zote kuanzia EPL, La...
lile shirika linaloshika namba 1 kwa kupendwa na watu wengi😝😝😝 katika masuala ya mawasilano hapa nchini, TTCL Corporation lipo njiani kufanya mabadiliko ya vifurushi vyao.
Mabadiliko hayo yanategemewa kufanyika mabadiliko ya vifurushi vyao ndani ya siku 3 zijazo kuanzia sasa😅😅
NB; Ukipita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.