Mkuu naweza kupata Kazi ya ulinzi hapo nmehitimu mafunzo ya awali ya kijeshi JKT Elimu kidato Cha sita PGM maana kwenye makampuni haya wanalipa hela ndogo mno yani mpaka aibu ila hakuna namna tunafanya tu.
Kaka ukianza kazi naomba unifanyie mpango wa nafasi ya ulinzi nina mafunzo ya JKT maana kwenye makampuni ya madini kidogo yanalipa vizuri kidogo kwa kada za ulinzi na hata professional tofauti na hizi kampuni zingine za ulinzi.
Mm naomba nielekezwe kiwanda cha nondo temeke kipo sehemu gani nataka kwenda kesho maana huku kwenye majeshi naona nuksi tupu OP Kikwete lakini mpka leo hakuna ajira nimeomba sana hizi nafasi mpka sasa hvi nimekata tamaa kabisa yani bora niende huko kwenye kiwanda cha nondo nikatafute mtaji hata...
Samahani mkuu naomba maelezo vizuri wa hiki kiwanda kipo temeke sehemu gan,watu wanaingia saa ngap na kutoka muda gani na je ukiingia mzigoni kuna nguo zao za safety wanakupa unavaa au unavaa nguo zako?Nisaidie kwa hayo kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.