Nchi yetu y a Tanzania imepitia changamoto nyingi sana tangu uvamizi wa kikoloni karne 19 , wapo watu katika watanzania wenzetu walipoteza maisha yao na wengine kupata ulemavu wakipinga dhuluma na uhuni wa wakoloni enzi hizo.
Miaka ya 1940s vuguvugu la kudai uhuru lilipamba moto ambapo...
Kutokana na mamlaka aliyonayo spika na bunge dhidi ya serikali nilitarajia serikali ije haraka na ufafanuzi wa yale aliyosema spika. Badala yake tumeshuhudia mtu kutoka kwenye chama akimshukia spika kama mtu asiye na mamlaka yoyote. Hii inaashiria ulegevu wa katiba tuliyo nayo na hivyo kuchagiza...
Ulinzi wa mama si wa kawaida kwa sasa chopa tatu angani zikisindikiza msafara wa magari wa mama, gari isiyopitisha risasi, msafara mrefu wa magari 102 .
jammer vehicles pia ipo ktk msafara..
Kujuana kwa maeneo ndio regionalism yenyewe kujuana kwa makabila ndio tribalism yenyewe , so hakuna tofauti kati anayejitapa kwa kabila na yule anayejitapa kwa kanda.....
Viongozi wa Afrika bhana
Sijaelewa utaratibu wa chanjo hii ya uviko kuwabagua walio chini ya miaka 18 tumejiridhisha vipi kuwa wao hawawezi kuambukiza na kuambukiza??¿
Taifa lisipokuwa na sera zake litafanyia kazi sera za mataifa mengine..
Tufikiri pamoja kama taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.