Habari zenu wakuu, nina mdogo wangu amemaliza chuo(degree),2019,ila kutokana kukosekana ajira, anahitaji akasomee kupamba maharusi, na mambo ya saluni ili afungue saluni ajipatie angalau hela. Sasa nauliza ile hapo VETA ya Chang'ombe wanafundisha hayo mambo?
Msaada tafadhali.
Habari,
Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi.
Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na...
Jaman mm n msichana na penda sana kufanya kazi ndani ya bunge yaan naipenda hiyo kazi sana, nimekuwa nikifatilia kama kuna kazi zimetangazwa tangu mwaka jana ila naambulia patupu, kwa anaejua basi namna ya kuomba kazi ndani ya bunge letu tukufu, na je, sifa zao ni zipi wanaziangalia,
Nina bachelor degree ya IR (International Relations)
Nmeomba kazi kuanzia January hadi hivi ninavyoongea yaani kila siku nikiona tangazo la kazi nliyosomea na apply
Ila sijapata chochote, wale wenzangu waliomaliza wakapata kazi mnatumia mbinu gani?
Habar wanajamii, naomba kwa anaejua vifurushi vya bei nzuri anijuze, maana nilikuwa natumia voda vifurush vya chuo ila dah wamepandisha, tigo nayo ndio kabisa, wenzangu mnajiunga vifurushi gani bomba.
Yaani kwa kifupi sisi wanawake tumejaliwa kupenda kwa dhati, wanaume ndio wanasababisha mwanamke awe msaliti,
Wewe kama una mpenzi/ mke/ mchumba/f anya yafuatayo, kwanza kabisa
- Mpende mwanamke wako,
- Msifie kila wakati,
- Mpe maneno matamu mda wote,
- Hata kama uko bize kias gani hakikisha...
Wanajamii wenzengu hakuna kitu kizuri kama kuomba msamha pale unapokuwa umekosea,hata kama uliyemkosea atakuwa hajakusamehe ila wewe utakuwa na amani moyoni,usipuuze neno msamaha maana lina faida kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, ni yale ambayo unampenda sana kuliko yeye anavyokupenda, yaani hata ukikuta anakucht unamsamehe tuu au ni yale ambayo yeye anakupenda sana ila wewe upo naye kwakuwa tu yeye anakupenda na anakujali unaona acha uende nae hivyo hivyo?
Yaani wanaume sijui kwanini mnakuwa hamridhiki? Yaani utakuta una msichana mzuri kwa umbo, sura, hata tabia ila kwanini bado unakuta ukiona mwingine unatamani? Mpewe nini?
Hebu leo mtujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.