Habari zenu wakuu, nina mdogo wangu amemaliza chuo(degree),2019,ila kutokana kukosekana ajira, anahitaji akasomee kupamba maharusi, na mambo ya saluni ili afungue saluni ajipatie angalau hela. Sasa nauliza ile hapo VETA ya Chang'ombe wanafundisha hayo mambo?
Msaada tafadhali.
Kama unajua ulikuwa na uwezo wa kufaulu ila imetokea mtihan wa taifa ukafel, basi usikate tamaa wew rudia, naamini utafankiwa, ila tafuta watu wazur wakusoma nao
Habari,
Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi.
Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na...
Jaman mm n msichana na penda sana kufanya kazi ndani ya bunge yaan naipenda hiyo kazi sana, nimekuwa nikifatilia kama kuna kazi zimetangazwa tangu mwaka jana ila naambulia patupu, kwa anaejua basi namna ya kuomba kazi ndani ya bunge letu tukufu, na je, sifa zao ni zipi wanaziangalia,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.