Heshima mbele Jf ...
Naona bado asilimia fulani ya watu wapo kizani, kwenye suala zima hili la gharama mbali mbali ambazo watapaswa kugharamia mbali na ushuru wa TRA kwaajili ya magari yao.
kwa namna fulani, hii imeleta mkanganyiko kwa watu wengi, sasa basi kwakua
JF IS WHERE WE DARE TO...
Salaam nyingi sana wana JF,
Ni ukweli uliowazi kwamba, kadri miaka inavyozidi kusonga mbele, teknolojia nayo inakua kwa kasi sana, mitandao ya kijamii nayo inashika kasi kuendana na mabadiliko bila kuisahau Jf nayo pia.
WHATSAPP, Telegram, Facebook, Instagram, Twitter n k
Imekua ni mitandao...
Habari za leo,
Kumekua na thread nyingi zinazohusiana na biashara ya bajaj na pikipiki.
Nyingi zikijikita katika mambo ya uendeshaji wa vyombo hivyo na uuzaji wake wa spare parts.
Lakini sijakutana bado na thread inayoongelea kuhusiana na bei za vyombo hivi (uhakika) maduka vinapouzwa n.k...
Habari Jf,
Uzi huu, utakua ni uzi maalum kwa watu wanaohitaji kuagiza magari, ama wenye malengo ya kuagiza magari bila kujali sasa au baadae.
Hapa, ninakaribisha maswali yatakayo husika na
(i). Gharama za uagizaji (manunuzi) ya gari
(ii). Gharama za ushuru (Tra) bandarini, n.k
Kwa...
Hi All,
Job brief
We are looking for an ambitious and energetic Business Development Manager to help us expand our clientele. You will be the front of the company and will have the dedication to create and apply an effective sales strategy.
The goal is to drive sustainable financial growth...
Job brief
If you live and breathe marketing, we need to talk. We’re looking for a flexible and versatile marketer who will be responsible for the growth of our inbound sales channels.
Marketing manager responsibilities include tracking and analyzing the performance of advertising campaigns...
Salaam,
Tuzidi kuchukua tahadhari dhidi ya Covid-19 , maana ipo na ni hatari.
Naomba niingie moja kwa moja katika mada husika;
Ni hivi, kuna ndugu yupo mkoa fulani ndani ya Tanzania. Ndugu huyu anamtoto mmoja tu, ambaye ni wa kike.
Umri wa msichana wake, ni chini ya miaka 22, lakini...
Salaam sana jf,
Naomba kukuwekea hapa, Magari tofauti tofauti kutoka kampuni mbali mbali za uuzaji magari nje, pamoja na bei zake hadi gari kufika bandari ya hapa Dar es salaam (CIF).
Tutaangalia kwa pamoja na kusaidiana ushauri, na kwa ambaye huwenda ameona gari anayohitaji ama kuipenda...
Wana Jf habari,
Pameibuka makampuni mengi sana, ambayo yanajihusisha na uuzaji magari kutoka japan kuleta huku
Na kila moja akijitangaza kuwa bora zaidi.
Kitu ambacho kwa wageni ambao wanahitaji kufanya maamuzi ya uagizaji, huwa kinawachanganya, wasijue ipi ni sahihi ipi sio.
Naamini tunao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.