Ningependa sana watanzania tuwe na movie zinazohusu harakati. Kwa mfano sijawahi ona kuna movie inayohusu chief mkwawa, maisha yake alivyoishi mpaka alivyokufa. Itakua bonge la movie, watu watapiga hela balaa.
Ila kitu kimoja nawakumbusha watayarishaki wa movie, hakikisheni kuanzia waandishi...
Kuna kitu unatakiwa ukione hapo. Kuna wazalendo na wenye vipaji wachache walio kua outnumbered n a wajinga, matokeo yake hawaonekani na wanafifia bila hata kujulikana huku taifa x likiangamia
Hivi ukiwa na nchi x yenye watu wapumbavu/wajinga asilimia 90. lakini wasomi, wenye vipaji na wenye uzalendo ni asilimia 10.
Lakini kwa bahati mbaya wasomi asilimia 8 ndo wako kwenye nafasi za uongozi na wakatumia usomi wao kujinufaisha, na asilimia 2 kati ya kumi tu ndo wakawa wanapigania nchi...
Zinakusaidia nini picha za anga wewe kama wewe. Kumbuka hiyo project ni mabilioni ya dollar, ambapo wewe pia una contribute dollar bila kujua
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mbona mabeberu watu wazuri tu. Waafrika bila kunyonywa hawaendi. Inahitajika colonization nyingine aisee. Maana kipindi cha ukoloni barabara, mashule na madaraja yalijengwa kwa kiwango cha juu sana.
Kwa maoni yangu, beberu sio mtu mbaya, ila ni jinsi unavyomtumia
Sent from my SM-A025F using...
Kwa hiyo bora wakoloni wangeendelea kubaki, unaona ni bora kutawaliwa na mzungu kuliko mwafrika mwenzako. Mmh hatari
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
So we expect after this movie wanawake watazidi kua na viburi sana kitendo ambacho kitasababisha disputes nyingi. Na katika kila dispute mwanaume ndo yupo kwenye risk, example, marekani kuna sheria kali sana za "woman abuse" so kuna expectation ya niggas kuingia jela sana. The number of...
Hata ukiicheki trailer unaona kabisa characters za waigizaji ziko more "romanic" ( kama una kumbuka the roman empire the way wanavyo fight au the way wanavyoishi).
So tumepigwa mazee. Ni hatari
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kuna kamjadala nilikua nakaona youtube, black americans wana discuss kuhusu hii movie, wanasema kua kuna agenda hollywood wanapush, ambapo itahusu kuzidi kuhimiza feminism kwenye jamii. I mean wanawake kuwa na power kuliko wanaume, kwa kifupi kupunguza masculinity, hii itasaidia serikali kua na...
Kuna kamjadala nilikua nakaona youtube, black americans wana discuss kuhusu hii movie, wanasema kua kuna agenda hollywood wanapush, ambapo itahusu kuzidi kuhimiza feminism kwenye jamii. I mean wanawake kuwa na power kuliko wanaume, kwa kifupi kupunguza masculinity, hii itasaidia serikali kua na...
Kuna kamjadala nilikua nakaona youtube, black americans wana discuss kuhusu hii movie, wanasema kua kuna agenda hollywood wanapush, ambapo itahusu kuzidi kuhimiza feminism kwenye jamii. I mean wanawake kuwa na power kuliko wanaume, kwa kifupi kupunguza masculinity, hii itasaidia serikali kua na...
Mwafrika hajawahi kua binadamu[emoji23]. Umemiss kitu kidogo hapo. Ni kwamba tanzania tunasifiwa kwa kulinda haki za binadamu/mabeberu. Wanaposema binadamu, sio kila mtu anavigezo vya kua binadamu. Wanaongea kwa ishara hao
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Point yako ni nini. Toa statement, yani unataka kutuambia kwa sababu watu wengi wanakimbilia marekani ndo una justify kua marekani ni taifa zuri?
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.