mkuu huyu labda itakuwa GUMBARU. hiyo MEMKWA nadhani ilikuwa haijatake off! ila kama amesoma MEMKWA na hatimaye kuwa Mhadhiri chuo kikuu, basi huu Mpango maalum wa Elimu ya Msingi kwa walioikosa (MEMKWA) umepata mafanikio! yote hayo ni hapo atakapothibitisha ! hili doa la kughushi ni mzimu...
kuzaliwa 1967, O level 1997 , A level 2000 yaani alisoma sekondari akiwa na miaka 33 !
huyu ni shida! hapo hakwepi tuhuma za kughushi ! yaani ameanza form 1 na miaka 27 ! huyu bora amejileta hapa! wenye mamalaka wamchunguze! kuwa ilikuaje aingie form 1 na miaka 27 kwa shule za...
hatuwezi kutumia udhaifu wa nyerere kama reference ya kufanya maamuzi ya sasa. hilo la nyerere linajulikana lakini si jambo la kufanyia rejea kuhalalisha aliyoyafanya yafanyike na sasa pia. tuchukue mazuri ya nyerere, na madhaifu tuyaache, hata yeye alisema hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.