Wanajamvi Amani kwenu
Hivi leo dunia imebadilika, majra nayo na nyakati zinazidi kubadilika
Huko tuendako, kwa sababu ya milipuko ya magonjwa na masharti yanayotokana na milipuko hiyo ya magonjwa inatufanya walimwengu tuishi kidizaini kama tulikuwa na utalii. Mtu kusafiri kwenda mahali...
Nilizaliwa Tanzania na nitakufa na kuzikwa Tanzania.
Watanzania wengi sana tunapenda vitu vizuri, lakini kanuni ya vitu vizuri ni Lazima uumie Kwanza wakati unaelekea vitu vizuri, hii ndiyo kanuni ya maisha.
Katika nchi yetu kumekuwepo na kauli mbiu ya Tanzania Lazima tujitegemee.
Ni Jambo...
Kuna nini kwenye mikopo hii ambayo nchi zetu hizi za Afrika huwa zinakopa/ kopeshwa?
Zinajitahidi karibu Kila mwezi kurejesha mikopo hiyo, miaka na miaka, lakini badala ya kupungua, ndio Kwanza yanaongezeka!!
Lakini Je, shida iko wapi? Uwekezaji unaotokana na mikopo hiyo ndiyo hupelekea...
Kutokana na uzembe maofisini, Ni vyema sasa Mfumo wa ajira ukabadilika haraka iwezekanavyo.
Mfumo ambao upo, umewafanya watu kuzoea kazi ili hali huko nje kuna watu wachapa kazi na hawajapata chansi ya wapi wakatumikie taifa lao.
Mfumo uliopo, ndio ulioleta uzembe maofsini, Kwa sababu mtu...
Tukubali ama tukatae, ukweli ni kwamba, CHADEMA haikuliangalia suala hili la kina Mdee na wenzake Kwa umakini kama chama
Hoja ya kina Mdee ni kwamba! waliapa kulitumikia Taifa kama wabunge wa kuteuliwa kwa sababu ipo barua iliyotoka Kwao CHADEMA yenye Baraka zote ya wao kufanya hivyo!
Ndugu...
Ole wenu CHADEMA!!
Mtihani huu uliopo CHADEMA ndio utakaoamua msitakabali wa Chama hicho, ama Chama kiendelee kuwepo kikiwa na nguvu ileile ama kuzikwa rasmi ikiwa hekima haitatumika kuamua mgogoro huo
Wengi wenu mnamuona Mdee,Bulaya, Matiku na wenzao walioapa bungeni juzi, Lakini aminini...
Wakati kina Zitto, Sarungi, kina Lissu n.k wakiendelea kusambaza uongo juu ya nchi yao na hali ya kisiasa nchini, kule kwa wenzetu Ulaya, Amerika na sehemu zingine zilizostarabika na kuheshimiana, kusema uongo tu ni sababu tosha ya kuwajibishwa kisiasa na hata kutolewa katika nafasi mtu...
Kama kichwa cha habari kilivyo!
Tanzania ni nchi yenye historia ya pekee barani Afrika na duniani kote.
Ni taifa lililopigania Uhuru wa nchi nyingi Afrika na ni Taifa la kuigwa si barani Afrika pekee bali duniani kote
Ni taifa lililojipatia Uhuru wake pasi na kumwaga damu, na hii si kwa...
Tulikotoka ni mbaali saana, tuendako ndio mbaali zaidi.
Tumekuwa na uchaguzi wa kila Baada ya miaka mitano tunachagua viongozi wetu Kwa mjibu wa katiba yetu na ni haki ya kila Mtanzania mwenye kutimiza vigezo vya kupiga na kupigiwa Kura hufanya hivyo.
Tuliko toka tumekuwa na chaguzi zenye...
Nianze Kwa kusema hivi!! Mimi si mwana CCM Ila ni mshabiki wa kutupwa Kwa JPM na Baadhi ya viongozi katika Chama
Siasa zangu si za kuwa mwanachama wa Chama Fulani, Ila ni mshabiki wa mtu yeyote makini kutoka Chama chochote cha siasa, sifungwi na Chama chochote kile.
Sasa basi, kuna mambo huwa...
Kumekuwepo na na Baadhi ya watu kusema, hawatotii Sheria za uchaguzi zilizobainishwa kuhusu utaratibu wa kupiga Kura, ambapo baada ya mtu kupiga Kura yake anapaswa aondoke Eneo la kupigia Kura
SASA, tusije tukalaumiana, Mimi ninatoa tu tarifa Kwa upendo mkubwa ingawa haikunipasa kufanya hivi...
Hii hoja haijawalenga Sana wale wenzangu na mimi ambao Wao wamechanjwa chale za vyama vyao
Sasa karibu katika mjadara!
Najua kuna wale ambao liwe jua ama mvua Wao ni CCM Tu, lakini kuna wengine ambao hata ukimwamsha usiku wa manane Kutokea usingizini umuulize, wewe ni Chama gani, atakujibu...
NDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha
Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao kuomba kuchaguliwa na wananchi katika Nyanja mbalimbali za kiuongozi...
Moja kwa moja hojani,
Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+
Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi...
Tumeona mengi na makubwa na Pengine Yale ambayo hatukuamini kwamba yatafanyika katika Taifa letu Kwa kipindi kifupi Tu cha miaka mitano, Yamefanyika,
Nami sitaki kuyarejelea yaliyofanyika, kwani kila mtu ni shuhuda wa yaliyofanywa na serikali inayomaliza muda wake, na mwenye macho haambiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.