pole sana ndugu yangu jaribu kuongea na x wako vizuri ili umwambie aachane na mdogo wako afanye maisha yake hy sio tabia nzuri anayofanya huyo mdada hata kidogo
hata mimi nakuunga mkono asilimia 100 tigo ni wezi na hawawajali wateja wao hata kidogo wanaringa cos wana wateja wengi lakini hawajui kwamba tunaweza kuhama na kuwaachhia kampuni yao
Vocha sio tatizo atoe 2 namb za cmu 2mtafute jamani wengine tunatamani kuolewa ila ha2wapati wa ku2oa maana nasi 2shadanganya kama yeye nw twatfuta true love
unajua ndugu hizi post za kupewa pewa eti kisa katibu mkuu tunatoka sehemu moja,mara ooh bwanako this things is stupidity ndio maana mtu anaropoka anavyojisikia baada ya kuwapa moyo ndio anazidi kuwafanya warudi nyuma hii nchi tusipoangalia uswahiba unatumaliza ndugu zangu kama yeye hasalimiani...
yaani jamani twende mbele turudi nyuma hata kama mzee upara ana mabaya yake alofanya lakini ana mengi aliyofanya ambayo yanatufanya tumkumbuke tofauti na huyu swahiba anayejua kulipa visasi kwa wote waliopita njia zake baada ya kufikikiria afan yaje aiondoe nchi kwenye criss tuliyonayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.