Search results

  1. feisar wa moro

    Ombi langu bei za mazao na vyukula vipande maradufu

    Wakuu hili ni wazo langu kutokana na gharama za uzalishaji kuwa juu itafaa bei za vyakula na mazao mengine zipande ili kumsaidia mkulima.. Haya ni baadhi ya mabadiliko ya gharama za kilimo msimu huu ukilinganisha na msimu uliopita kwa hapa nilipo na hapa nazungumzia zao la mpunga -Kukodi...
  2. feisar wa moro

    Sababu za kwanini bei za vyakula Tanzania zipande mara dufu

    Wakuu sina mengi hizi ni sababu zangu kutokana na hali halisi iliyopo huku mashambani kunakofanyika kilimo..( nipo kilombero morogoro) ZAO MPUNGA Bei ya kukodi shamba Ni laki 2 kutoka laki 1 msimu uliopita Bei ya kuvuruga ni laki moja na 40 kutoka 80elf msimu uliopita Bei ya kupanda ni laki...
  3. feisar wa moro

    Ni vipi nitapata tunda la binti huyu wa kishua?

    Shikamoni/marahabaa Kuna mtoto wa kishua nimempenda na tayari ameingia kwenye 18 zangu na yupo tayari kunipa zawadi ya tunda ambalo ameniaminisha kuwa halijawahi kuguswa tangu Mungu aliumbe (BIKIRA) ila sasa nashindwa kulifikia hilo tunda la mti wa katikati kutokana na mazingira ya kwao kuwa...
  4. feisar wa moro

    Shikamoo wewe kipofu uliyeniibia pikipiki na ukaiendesha

    SHIKAMONI/MARAHABAA STORY YAHUSU: NILIVYOIBIWA BOBABODA MAGOMENI JIJINI DSM Nipo zangu kijiweni nikisubiri abiria mara paap wanakuja wanaume wawili mmja mtu wa makamo miaka 40/55 amevaa miwani meusi akionekana ni mtu mwenye ulemavu wa macho (kipofu) na mwingine ambae ni kijana Kati ya miaka...
Back
Top Bottom