Hivi toka 2018 mpaka sasa ni miaka 15 imepita ee?? Au nimimi kichwa kinawaka Moto sielewi
Anyway we kinachokusumbua ni kukosa ajira umehitim chuo unaona wenzako mliomaliza nao shule wengi wamepata ajira wengine wana maisha safi we kwa upande wako score board bado inasoma 00 hapo mdo unazid...
Hapo unapokatia tamaa mafanikio yako mbele yako huko unakohamia unaenda kuanza upya! Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga make hata huko uendako bado huna uhakika wa kutoboa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.