Search results

  1. Mtafiti77

    TANZIA Beki wa Kaizer Chiefs afariki dunia baada ya kupigwa risasi

    Hata sisi majanga haya tunayo,lakini, hawa wenzetu wapo level nyingine. Mtaani kwao ni kwa moto wallahi.
  2. Mtafiti77

    Daladala zilizochoka mpaka kuegemea upande mmoja zinahatarisha usalama wa abiria, kwanini zinaendelea kutumika?

    1. Serikali corrupt. Wahusika hujali matumbo yao tu. Hapo huwezi kuzikamata, kama si gari ya afande hiyo,basi mlungula unahusika 2. Kodi. Serikali inajali kodi tu. Mradi inalipwa poa. Hawana time na abiria. Aidha, ili kupata faida, mjasiriamali haoni haja ya kuingiza gari mpya maana hiyo...
  3. Mtafiti77

    Zanzibar: Serikali yalaani vitendo vya unyanyasaji wa kidini vinavyoendelea visiwani

    Huu ni ushahidi kuwa masuala ya imani huchangia sana kuua fikra tunduizi. Na kukosa fikra tunduizi kuna gharama kubwa. Paul na Elder(2009) waliwahi kusema "Shoddy thinking is costly,both in money and in quality of life." Inasikitisha sana.
  4. Mtafiti77

    SI KWELI Ukikutana na Simba, ukimtazama machoni huona aibu na kuondoka

    Mimi akili itanijia siku hiyo nikikutana nae. Kama vipi nimevaa jezi ya Al-Ahly nitampa makofi mawili matatu na kuchimba zangu.
  5. Mtafiti77

    TANESCO yatangaza tarehe kuanza kutumia mita zisizohitaji kuingiza ‘token’

    Hizo mita ni bure bilashaka. Maana mambo yanayowaingizia nyie pesa huo mpo fasta kuyafanyia kazi, yale nyeti ya wateja sasa,mh!, unanyooka kuanzia kuingiza umeme, bili kubwa na katakata.
  6. Mtafiti77

    Ruvuma: Watu 9 wafariki baada ya Gari yao kusombwa na Maji

    Basi utasikia ahadi yao ilishafika. Tuna shida sana kwenye tafakuri tunduizi.
  7. Mtafiti77

    Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

    Hivi Weah alimalizaje urais wake? Na yeye aliwapiga waliberia? Jamani Afrika kweli shamba la bibi.
  8. Mtafiti77

    ARUSHA: Mwalimu alimcharaza viboko 12 Mwanafunzi hadi kumpasua kiganja

    Hii ni ishara kuwa bado hakuna mabadiliko katika sekta ta elimu. Miaka 40 iliyopita baadhi yetu tulilelewa hivi shuleni na nyumbani. Leo bado mbinu ni zilezile.
  9. Mtafiti77

    TANZIA Mwimbaji kiongozi wa bendi ya Reggae ya Morgan Heritage, Peter 'Peetah' Morgan, amefariki dunia akiwa na miaka 47

    Ulimwengu wa Reggae umepata pigo kubwa wallahi. Kama ninamuona bro akiaga kundi na wimbo wake "Bye bye" zama zile. R.I.P
  10. Mtafiti77

    DOKEZO MWENDOKASI: Madereva na watumishi wanavyopakiza ndugu zao nje ya utaratibu

    Uwepo wa uholela hakufanyi tusizungumze. Na wananchi tukiwa na ujasiri wa kukemea ndiyo tutaweza walau kuwastua hao watekelezaji. Kusema hakuna utawala wa sheria na kuruhusu hata kile kidogo mnachoweza kukiondoa ni upumbavu. Kero nyingi mitaani tunaweza kuziondoa wenyewe. Kuna vijiji mpaka leo...
  11. Mtafiti77

    DOKEZO MWENDOKASI: Madereva na watumishi wanavyopakiza ndugu zao nje ya utaratibu

    Hii si kweli. Sanasana ungemshauri asingekuja kulalamika hapa. Kwa umoja wao wangemaliza hiyo kesi hapohapo. Wanawapiga ngumi hao wahudumu na hao ndugu zao. Shida yetu watz ni maboya. Unakuta wengi wao wanaumia chinichini. Hawawezi kuondoa uovu kwa mkono wao. Hii hoja ya kuita hilo ni jambo...
  12. Mtafiti77

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Subiri kwanza tutoe vyombo majumbani. Maji yamejaa huku kwetu.
  13. Mtafiti77

    Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi

    Hao ndiyo maprof sasa. Hivi wale masalia waliotaka kwenda Israel bila nauli waliishia wapi? Walifika? Na wapo wapi kwa sasa? Kuna watu majiniazi sana hapa duniani aisee.
  14. Mtafiti77

    ONYO: Hata maisha yakubane kivipi, usije jaribu kwenda kutafuta utajiri wa mashetani, pesa za mashetani hata waganga hawazitaki

    Ukiacha wale ambao hudhuru watu kwa masharti ya kipumbavu kama kuua au kukata viungo vya mwili, mimi ninapenda wale ambao hutumia ujinga wetu tu kutuibia. Hao wadumu ili kusaidia watu kupata ajira. Kwa upumbavu wangu mwenyewe ninampa mtu pesa anifanye kuwa tajiri. Wala hajanikaba, ni mimi...
  15. Mtafiti77

    DOKEZO UBORA WA ELIMU inayotolewa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) unatia shaka

    Lakini kuna ukweli jamani. Unaachaje kuwekeza kwenye maradhi yanayosumbua wananchi wa Tz unakwenda kuweka huduma ya kukuza makalio. Mh!
  16. Mtafiti77

    UDART mnakwamisha maendeleo

    Sisi bado sana kujisimamia. Huduma za ndege ,ATCL , hazijatulia. Haya mabasi yanachechemea. Internet bingwa wa kumbukumbu, ninaandika hapa hata SGR ni stress tupu. Ngoja ianze tutaona. Kuna haja ya kutawaliwa tena na mzungu?
Back
Top Bottom