Mimi sishangai sana, Wangwe akili zake huwa siyo nzuri licha ya kuwa na ushawishi hususan katika jimbo lake. Na mimi naamini ushawishi wake si kwa CHADEMA kwa ujumla, bali zaidi ni kwenye jimbo lake. Kwanza Wangwe is too mechanical. Pili, Wangwe huwa ana utamaduni wa kupinga karibu kila kitu...
Inatuhusu kwa sababu mnataka kutumia pesa zetu za kodi kuendeshea mambo yenu ya kidini na vilevile tunaiheshimu katiba yetu ambayo hairuhusu ubaguzi wa kidini, rangi wala kabila.
Jambo linalotia shaka, kwa nini mnadai Mahakama ya Kadhi itashughulika n a baadhi ya sheria za Quran kama ndoa na...
Waislam hususani wa hapa Tanzania na baadhi ya nchi za Africa wasipokaa chini na kujiuliza kwa makini wanaweza kuendelea kuwa walalamishi kuwa wanaonewa na kujenga hoja dhaifu kila mara.
Tukubali tusikubali, matatizo ya Waislam yanasababishwa na dini yao kuwa na "Poor Institutional...
Hayo ni mawazo finyu kabisa. Watu wanashindwa kuelewa kuwa Vatican ni nchi na mahusiano yetu ni ya nchi na si ya dini. Sina haja ya kurudia mifano ambayo imetolewa, lakini ukweli ni kwamba kama dini inatumika kuwa kigezo katika uhusiano, kuna balozi nyingi sana ambazo zipo hapa Tanzania na nchi...
Naomba mniweke sawa, hivi kweli sms hutokea isioneshe namba? Yaani iwe private? Mimi nafahamu hiyo hutokea wakati wa kupiga, lakini sms huonesha namba.
Hii ni dharau, na inaonesha ni jinsi gani viongozi wetu wasivyojua kutofautisha majukumu na mamlaka ya chama na yale ya Serikali. Si mara ya kwanza kufanya hivyo, hata last time wakati kukiwa na mkutano wa Halmashauri Kuu kule Dodoma alifanya hivyo ingawa ilikuwa ni kwa style nyingine. Alisema...
Lakini hata kama tukizungumzia vyama vya Siasa, Mtu wa Pwani ina maana chama alichoona hakijatoa salam za rambirambi ni CHADEMA tu? Mbona hajahoji kuhusu CHAUSTA, SAU, NLD, DP na vinginevyo?
Hakuna cha kutafutwa hapa, ulichoharibu wewe ni kutumia lugha chafu. Unatakiwa kuwasilisha ujumbe wako kwa kutumia kichwa na si kutumia moyo: Kichwa kinatawaliwa na hekima na busara, bali moyo hutawaliwa na hisia (emotions).
Sawa, hata mimi sishauri kwenda mahakamani sioni umuhimu wowote, kwanza jambo lenyewe siyo zito hadi aamue kwenda mahakamani. Mimi hoja yangu ilikuwa juu ya neno pumbafu, mimi naliona kama tusi. Kama siyo tusi basi sawa.
We Koba, kutukana siyo vizuri sasa. Wewe toa hoja zako, sisi tutaziona na kuzipima. Mbona unamtukana tena huku ukitambua kuwa ni Mbunge wako? Elewa kuwa kuchaguliwa kwake na wananchi kuwawakilisha ni heshima kubwa.
Tatizo Watanzania tunapenda kukaribisha wakati hatujamaanisha kweli. Pengine Kikwete naye alitamka kwa kawaida ya Kitanzania "Karibuni jamani!!!" wenzanke wakachukulia serious. Mimi nadhani mwaliko wa tafrija maalum kama hiyo ya Ikulu kulipaswa kuwa na kadi au barua maalum. Sasa je, ilitolewa...
Sisi tunazingatia mambo ya public interest, si mambo ya mtu binafsi. Mbona Clinton alikuwa fuska na aliongoza nchi ya Marekani vizuri kuliko hata Bush?
Haya ni maajabu ya aina yake. Kwa kweli mimi baada ya kusoma taarifa hiyo nimechoka kabisa. Ilikuwaje akagombea Urais hadi akashinda wakati alikuwa haelewi matatizo ya wananchi anaotaka kuwaongoza? Ni kichekesho na ajabu kweli!!!! Maana huwezi kutatua tatizo bila kuelewa chanzo chake, ndio maana...
Mimi sasa narejea ukweli kama ulivyoandikwa katika kitabu cha Mhubiri 3:1 na kuendelea kwenye Biblia; Kuwa kwa kila jambo kuna majira yake na kila kusudi chini ya Mbingu, wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kucheka na wakati wa kulia. Sasa naona C.C.M. ni wakati wake wa kulia kama si...
Waandishi wana "sense of news" wanapima na kuona kuwa ni kitu gani kinaweza kufanya jambo kuwa habari. Kwa harakaharaka mimi naona aliyeandika habari hiyo ana high sense of news; Bila shaka kaangalia mambo/vigezo matatu kutengeneza hiyo habari 1. Kapuya ni waziri 2. Alipata ajalijuzijuzi 3...
Tujihadhari pia na takwimu, maana watu wanaweza kumanipulate takwimu na kufanya tuonekane tuko bora kumbe tuko hovyo. Takwimu za Kimataifa siyo za kuamini sana nazo, tuangalie hali halisi sisi tunavyoiona hapa ndani. Zipo baadhi ya taarifa zenye utata hebu angalia pia mfano wa taarifa ya mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.