Only in here, nchi ambayo tunabangaiza maisha,wengine hata tunaishi chini ya USD 1 kwa siku lakini inafikia mahali eti hata zoezi Dogo tu la kumtuma mtu kaya fulani akaandikishe idaidi ya watu nae anahitaji kupewa seminor ya takriban wiki 3 na kila siku unamlipa na mkufunzi wake unamlipa ,kweli...
Wakuu habarini za usiku, hakuna usingizi nimekaa kitandani namuwaza huyu kiumbe ambaye kwakweli moyo wake nikama mnyama pori, ndiyoo nastahili kumuita hivyo.
Nimchepuko wangu niliye kutana nae akiwa katika mazingira duni sana, mwanzo sikuwaza kama hata ningeweza rudia tendo nae lakini Cha ajabu...
Wanajamvi habari za muda huu,
Bila kuwapotezea muda niende direct kwenye mada husuka, huyu bidada tulikuwa katika mahusiano naye miaka 8 iliyopita na nikimuacha baada ya kumfumania analiwa na mume wa mtu, aliomba sana msamaha bila mafanikio na nili mtema jumla.
Harakaharaka mwaka unao fuata...
Wakuu habari za leo, bila kupoteza muda ipo hivi: huyu mtoto wa kike kazaliwa na shemeji yangu baada kuachana na kaka yangu. Watoto wawili wa mwanzo ni wa kaka yangu kabisa akafuata yeye ni wa baba mwingine, wote wananiita baba mdogo.
Sasa huyu anasoma chuo mkoa jirani na ninapoishi mimi...
Wakubwa shkamoni wengine habari zenu.
Stori ipo hivi: Miaka 9 iliyo pita nilikuwa na mchumba'tulijuana yy akiwa mwaka wa pili chuo Fulani akisomea kazi Fulani,alihitimu na kupangiwa mikoa ya magharibi kikazi na mm nilimfanyia shopping na kumpeleka akaripoti,nilikaa nae wiki kusoma mazingira ya...
Ukimya ninini,ukimya ni dharau? Je ni kiburi?
Nini maana ya kushambuliwa na kukaa kimya!
Ukimya ni busara,ama ukimya ni hekima?nini hasa tafsiri ya malumbano ya kimya kimya?ama nikuona unaye lumbana nae hakutishei?
Ama pengine unaye lumbana nae hayupo sawa kichwani?
Nini maana ya ukimya...
Habari Wana jamvi,
Japo si mwenyeji sana humu nimelazimika kuandika uzi huu kutokana na tafiti nilizofanya juu ya mahusiano haswa pale ambapo unakuta umekutana na mwanamke kwa Mara ya kwanza ana kwambia"baby toa hiyo inaniumiza"au "baby Toa bhana sisikii raha"binafsi nimekutana na case hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.