Search results

  1. M

    Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

    Broo just imagine, ungekuwa mwanamke na sura uliyo nayo nani angekufuata hata basi akupe kazi,
  2. M

    Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

    Hivyo vya hivyo hovyo sana mkuu, Hawa under 20 ni matatizo sanaaaa, Kuna kimoja nilikakuta maeneo fulani Kako vzr portable, Sasa nikakasemesha kanajibu vzr t nikachukua no, jioni na kacheki kaka respond vzr t, kesho yake nakaambia Kako wapi kasema nyumbani, nyumbani wapi kaka taja, njoo basi...
  3. M

    Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

    We muongo na mnafiki mkubwa ww, tupo hapa maji ya chai na hakuna barabara yeyote ya Lami kuingia Dolly, Sijui kwanini mood wa jf wanawaacha watu kama Hawa wanafanya wanavyo taka humu, Kuingia kiligolf Kuna barabara mbili tu, moja inatokea USA na ingine Ina tokea maji ya chai baada tu ya kuvuka...
  4. M

    Kama habari hii ni sahihi, basi Mbowe yuko sahihi kutuita lile jina

    Ukiuliza utaambiwa kama hutaki hamia Burundi
  5. M

    Sensa na makarani na wakufunzi

    Only in here, nchi ambayo tunabangaiza maisha,wengine hata tunaishi chini ya USD 1 kwa siku lakini inafikia mahali eti hata zoezi Dogo tu la kumtuma mtu kaya fulani akaandikishe idaidi ya watu nae anahitaji kupewa seminor ya takriban wiki 3 na kila siku unamlipa na mkufunzi wake unamlipa ,kweli...
  6. M

    Majina ya Sensa ya mikoa yote yalipaswa kutoka kwa pamoja na sio hivi kwa mafungu mafungu

    Mbaya zaidi waliye pata kusailiwa wengi n waajiriwa Tena setikalini, Kuna mpaka waratibu achilia mbali waalimu na sector nyingine, Najiuliza Tanzania nani katuloga,mtaani vijana wengi sana wasiye na kazi waliomba lakini hata majina yao hayakutoka yanatoka wa waajiriwa na mbaya zaidi pale...
  7. M

    Hii ndiyo maana ya kustaafu?

    Sasa na mm nimekubali tunahitaji katiba mpya, ukweli kungekikuwa na katiba thabiti na Miata inayo weka ukomo wa mambo ya uteuzi haya leo yasinge tokea
  8. M

    SIMIYU: Samwel Makeja afikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi. Tumpongeze RC Kafulila kwa hili

    Nasema hiviiii, "embu ifike wakati Sasa Serikali iache kuchezea pesa zetu kwa kesi ambazo mwisho wake mtu mmoja t ana simama na kusema Hana haja ya kuendelea na mashtaka, tumeshudia humu kesi nyingi zinatumia gharama kubwa at end of day unaambiwa zimefutwa, so! What for?
  9. M

    Tukikumbushe vipindi maarufu vya Radio Tanzania Daresalaam enzi hizo,

    Mahoka, Mazungumzo baada ya habari Kandanda, Matangazo ya vifo Mkulima wa kisasa Zilipendwa Majira Malenga wetu Habanahaba
  10. M

    Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

    Umeongea vyema mamaaa,huwezi weka hao watu pamoja hata siku moja, mm niliwahi jaribu ishi na mnyiramva fulani kweli ilikuwa ligi, kila siku lazima kupiga na hasikii, Mara ya mwisho niliona nintaua Nika beba vilivyo nihusu nakuondoka aliendelea na drama zake siku hz Hana soko Tena hata vichaa...
  11. M

    Hakuna raha kama kumnyoa mke/Mpenzi wako. Najua wengi mnapenda hii

    Mkuu unamyoa shemeji yetu kiduku huko kunako? Mungu anakuona, mm Kuna mmoja nilikutana nae kanyoa hivyohivyo, akaniambia mumewe ndiyo anamyoaga hivyo
  12. M

    Dar: Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA, uamuzi wa rufaa ya kina Mdee, Bobi Wine yupo

    Kesha sema kuwa wabunge Wana nidhami wametii kuja mkutanoni, yaani wanasiasa wanaonaga watu wengine hawana akili kabisa, Eti rufaa?? Rufaa miezi mingapi Leo, Naapa humu hao wabunge n Tunu ya CDM na Mboye hata thubutu kuwafukiza,kama hamuamini subirn msikie Rufaa yao wameshinda na wamerudishiwa...
  13. M

    Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

    Na wasisingizie vita coz vita imekuja juzi na ikakuta mafuta tayari yamesha panda almost lita ya diesel ilishafika 2350,wakati Magu aliacha diesel 1750
  14. M

    Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari - 2022: Rais Samia awahimiza wanahabari kuzingatia mila na desturi za Kiafrika

    Asante Muheshmiwa Rais wetu kwa kuona umuhimu wa Arushaa, kweli ww n Rais wa maono, tunakuombea uendelee hivyo kila kitu kifanyike huku kwetu ndipo wajanja walipo Asanteee Kwa Leo umejua umuhimu wa kusherehekea Idd kwetu na pia siku ya Habari, Kongole kwa waziri wangu Nape.
  15. M

    Hivi wana-JF, mnamfahamu mnyama huyu?

    Anaitwa Fisiem huyu, nmbaya Sana huyu na marangingi hubadilika badilika Rangi hata tabia.
  16. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wakuu nimerudiii na tukio hili, Napenda sana kusafiri na demu wangu ninapo kuwa kizazi mikoani, juzi kati tulikuwa Kanda ya ziwa na Mara nyingi Yeye hunifuata huko ntakapo kuwepo inapo karibia week end na safari hii alikuja alhamisi akaondoka jumaa mosi, Sasa kimasihara inakujaje, Hoteli niliyo...
  17. M

    Pamoja na kumjali sana lakini hamna kitu

    Ww ndiyo kudole cha mwisho ee, nikwambie t hakuna mwanaume asiye na mchepuko na kama huna ujue ww unashida,huwezi kula mboga moja kila siku mkuu
  18. M

    Pamoja na kumjali sana lakini hamna kitu

    Umeongea vzr mkuu, Mungu aendelee kukupa hekima na busara zaidi,
  19. M

    Pamoja na kumjali sana lakini hamna kitu

    Amina mkuu, barikiwa sana
Back
Top Bottom