Cheti cha utumishi ni lazima, iwapo barua yako haionyeshi nafasi yako ya kazi uliyokuwa unaifanya kwenye hiyo ajira.
Kama barua imejieleza kila kitu si cha lazima.
Nami nimeingia kwenye dhoruba hilo hilo Mkuu.
Walianza kunilipa Feb 9, lakini ya mwezi March mpaka sasa bado sijaona salio. Naendelea kusubiria!
Ila hawa jamaa wanachotufanyia sio haki kabisa. Basi ni bora hata wangebadilisha sera zao ili ziruhusu hata mwanachama kukopa kwa dhamana ya michango...
Yes, hapo umekumbusha jambo muhimu! Ili kumaliza utata iletwe recoded video ya mechi hiyo! Na kama mkataba unawalazimisha kurusha/kurekodi basi lazima walifanya hivyo tu!
Sentensi nyingine zote umeongea maneno kuntu sana, isipokuwa tu hilo la kusema Shaffih ni Yanga, hapo imechemka jombaa nadhani humjui vizuri Shaffih Dauda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.