Napenda kushiriki nanyi kuhusu deal no1. Ni online part time job ambayo inalipa Sana lkn issue hii ni mpya haikuwepo.
Unakuwa wakala wa ku2ma orders online na kulipwa commission hapohapo ipo since 2017 japo kibongo imekuja sio mda.
Capital ni kuanzia Dolla 10. Kiasi Cha kawaida sana...
Mi swali naulza fedha za hizi alama wanatoa wananchi au Kuna mfuko ktk halmashauri? Maana nimeona kata flani wananchi wanalalamika wanaambiwa kibao kimoja ni zaidi ya elfu 80, je kata zilizoweka alitoa Nani? Wanaojua utaratibu watoe majibu
Nauliza je, ni wananchi wanaweka alama za mitaa kwa fedha zao au mfuko wa halmashauri? Maana nimeona sehemu raia wanalalama.
Huko kwenu jamani nani anaweka hizi alama?
Bilashaka, kura tutapiga mkuu. Andiko linatufunza Sana, mfano Mimi ni mwalimu lakini Nina kikundi Cha vibarua mashambani Kama mradi wangu, Mara ya Kwanza wakati natangaza hili wazo hapahapa JF, baadhi walinivunja moyo lkn ni idea ambayo napata kipato kuliko vile watu wanafikilia, ingawa hata...
Asante sana kwa elimu hii na ushauri pia. Pamoja na hayo maoni yangu ni kwamba kwa msomi kuchagua kazi sababu sio eti ni dharau hapana hii inatokana na madhara ya kisaikolojia, ili mtu mwenye degree auze karanga inahitaji apate ushauri wa kisaikolojia. Nakumbuka professor Nyoni wa UDOM, alisema...
Ok sawa, nadhani Kila kitu kina changamoto, nahii pia ni miongoni. Ukweli Kuna kazi nashindwa kufanya ingawa zilizo nyingi znafanyika. Yote ni kutokana na 7bu mbalimbali.
Nafanya kazi na watu wengi pia, huwa sikatai kazi, niliweka wazi nafanya kazi kwa makubaliano yenye tija, kwa mfano Kuna mtu mwingine alitaka niende pwani na vijana wakati kazi ni ya laki nne tu na nitumie cost zangu, kumbuka nataka kazi lkn sio ya hasara, kama upo mbali na nilipo na una eneo...
Nafanya kazi na watu wengi pia, huwa sikatai kazi, niliweka wazi nafanya kazi kwa makubaliano yenye tija, kwa mfano Kuna mtu mwingine alitaka niende pwani na vijana wakati kazi ni ya laki nne tu na nitumie cost zangu, kumbuka nataka kazi lkn sio ya hasara, kama upo mbali na nilipo na una eneo...
Boss usitumie hasira, Kuna mda natingwa. Nakumbuka ulisema una heka moja. Kiukweli siwezi kusafiri kwaajili ya heka moja iliyo umbali. Nafanya kazi na vijana ambao wanategemea faida, usilazimishe nifanye kazi yako Kama inanifanya nitumie gharama kubwa
Taaluma yangu ni mwalimu, Sina ajira lkn naipenda kazi yangu Sana, Nina wazo la kufungua tuition na nursery School ambayo nitahitaji kufundisha kwa kutumia projector, ila nashindwa mtu wa kunisupport,
NAHITAJI support,
Contact,
Email. wilsonmwamakalapya@gmail.com
Whatsup: +25576736103
Niliwahi kupost kuhusu kuwa na kikundi Cha VIBARUA MASHAMBANI, Sasa nafanya na usimamizi pia kwa mikoa ya Lindi, Njombe, mbeya, iringa,Ruvuma na Songwe tu,
- mazao ya parachichi, ufuta, mpunga, mahindi, tangawizi, viazi mviringo na korosho
-huduma ya VIBARUA mashambani pia ipo tunafanya kazi...
TANGAZO
pamoja na kazi zinazoendelea, tumeanza kupokea oda za kazi kwa msimu ujao. Lengo ni kurahisisha mpangilio wa kazi kwa vijana. Hii ni kutokana na wakati mvua zikianza watu huleta kazi nyingi kwa pamoja na kusabisha ratiba kuchelewa.
Pia katika kazi zote tunajitegemea chakula na maturubai...
Habari! Samahani nilikuwa sijibu maswali sababu ya Kuwa sehemu isiyo na network.
(1) kikundi chetu kipo njombe,mbeya,songwe na iringa. Tunafanya kazi zote za shambani.
Bei jamani zinategemea na kazi yenyewe ipoje. Kunabaadhi ya kazi kuelewana bei mpaka tuione lakini kurahisha zaidi, kama...
Vifaa tunajitegemea! Chakula kwetu pia ila bei tpfauti chakula kikiwa kwetu! Japo hatuna utaratibu wa kulishwa tunanunua wenyewe. Tunapanga bei na chakula kikiwemo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.