Tutafika tuendako kwa kuchechemea, wengi watakuwa vilema wengine wataishia njiani
Wakulima maeneo mengi wanalia kuliko wakati mwingine. Tatizo wenye dhamana hawajui nini cha kufanya bali wanataka kusifiwa wanapojaribu kutatua migogoro
Hayo ni mawazo ya mtu, hayana uthibitisho wa kisayansi namna ambavyo wanawake 20 wanaweza kupunguza au kuzuia hilo tezi dume
Sasa utatumia condoms au terminal to terminal. Kama utatumia condom, je inasaidiaje kuzuia tezi dime?
Na kama ni terminal to terminal ni kitugani kinachopelekea kinga?
Pole sana dada.
Jambo la kwanza ongea naye, muweke wazi kuwa kwakuwa ameoa hana budi kuachana na wa nje
Jambo la pili jichunguze wewe huenda ukawa ni chanzo cha tatizo " utapata majibu mtakapo zungumza na kuboresha ndoa yenu"
La tatu, ukitambua kama siyo chanzo cha tatizo, hebu ingiza unatembea...
Ninatamani sana kama ingewezekana kuweka hadharani hukumu ya watu wanapelekea migogolo ya kidini katika jamii yetu.
Inawezekanaje mtu anapokosea anahukumiwa mitaani kwa kuuawa na bado tunasema tunafuata utaratibu wa sheria?
Ni kama maigizo vile. Ni hivi karibuni wakimbizi wa Zanzibar wamerudi tangu walipokimbia mwaka 2000. Inamaana tumekuwa ni wepesi wa kusahau?
Mwaka 2008 wakati wa kampeni Kenya kiongozi wetu alisema kwa nini uwe na wasiwasi wakati wewe "Kibaki" umeshikilia dola! Nilichojufunza ni kwamba kwa...
Antichrist ni Freemason?
Kama jibu ni ndiyo basi inasemekana Oprah Winfrey ni Antichrist pamoja na Obama wakati wengine wanasema Obama pia ni Freemason!
Nimefurahi kupata majibu ya mada. Nimeshindwa kumuelewa jamaa, masoud nadhani ni mwiislamu. Sidhani kama ameamua kujitukana yeye. Kwa uzoefu wangu mambo mengi maovu yanakuwa kama mtu kaweka pause vile. Baada ya mfungo utaona ndiyo speed inaanza kwa kasi.
kipanya anafundisha kaka!
Nimekuwa nikifuatilia taarifa za habari kwa siku za hivi karibuni, karibia kila siku kwa nama moja au njingine inaonesha kuna tatizo la nishati hiyo. Ninapata mashaka kidogo ninapowaona viongozi wanaohusika kwenye usimamizi na udhibiti wa nishati hii kuzuia na kukemea kwamba wanaotumia internet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.