Mimi n muathirika wa masikio yani hayasikii vizuri na nina athari zifuatazo:
1. Yanauguruma kwa ndani
2. MTU akiongea namsikia ila cjui anamanisha nini
3. Akiwa mbali akiongea ndio sisikii kabsa
4. Hayaumi wala kutoa usaha nlienda hospital kupima nkapewa sawa za neuroton nmetumia lakini...
Punyeto imenifanya nimepata tatzo la masikio nikiongea na watu sauti naziskia ila maneno kuyatambua nashindwa nifanyaje nirudi kwenye hali ya kawaida naishi maisha ya kipweke tu kutongoza ndio siwezi kabsa yan uwezo kujieleza ushapotea kufanya kitu kiumakini nashindwa
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.