Kasheshe IPO kwenye kuacha me napiga sio kwa kupenda kwangu nkijitahid kuacha wiki moja narudi tena Hii kitu isikie tu bila demu huachi mbaya zaidi madhara nliyopata Ata kutongoza inakuwa mtihani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi n muathirika wa masikio yani hayasikii vizuri na nina athari zifuatazo:
1. Yanauguruma kwa ndani
2. MTU akiongea namsikia ila cjui anamanisha nini
3. Akiwa mbali akiongea ndio sisikii kabsa
4. Hayaumi wala kutoa usaha nlienda hospital kupima nkapewa sawa za neuroton nmetumia lakini...
Naombeni msaada nmepiga punyeto kwasasa miaka kama kumi na moja napiga nyeto nmejarbu kuacha lakn nashindwa nkijitaidi wiki moja tu baridi tena madhara yanayonisubua sana 1 nmekonda2sina uwezo wa kujieleza kabsa n MTU wa hofu tu na kuwa na mawazo mengi siwezi paga jambo nkalifanya kikamilifu...
Nimeona movie inaitwa Pyaar Impossible nimependa sana story yake, nahitaji nyingine kibao kama hizi. Nawaomba wadau mtiririke ili nizitafute
Sent using Jamii Forums mobile app
Punyeto imenifanya nimepata tatzo la masikio nikiongea na watu sauti naziskia ila maneno kuyatambua nashindwa nifanyaje nirudi kwenye hali ya kawaida naishi maisha ya kipweke tu kutongoza ndio siwezi kabsa yan uwezo kujieleza ushapotea kufanya kitu kiumakini nashindwa
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.