Wadau hamjamboni nyote
Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!
Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki
Nimpongeze sana huyu mama mpishi...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake
Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao
Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa...
Wadau hamjamboni nyote?
Hatimaye wameonana baada ya kuachana miaka mingi wakiwa shuleni pamoja.
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na majirani zake wa zamani Bi Asha Salum Abdallah aliyesoma naye Shule ya Msingi na Sekondari na mume wake Inspekta Mstaafu wa Jeshi la Polisi...
Apandishwa cheo kuwa staff sergeant kwa kuiwezesha Zambia kufuzu Olympic 2024 Paris.
Wadau hamjamboni nyote?
Barbara Banda mchezaji timu ya Taifa Wanawake Zambia amepandishwa cheo na Jeshi la nchi hiyo na kuwa Staff Sergeant baada ya kuiwezesha timu yake kufuzu kushiriki mashindano ya Olympic...
LIVE UPDATES: Jumatatu April 17, 2024
Njaa yatanda Sudan,manusura wa vita wasimulia madhila ya mauaji na ubakaji
Raia walionaswa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan wametoa maelezo ya wazi kwa BBC kuhusu ubakaji, ghasia za kikabila na kunyongwa mitaani. Wanahabari wetu...
#LIVE UPDATES: SHAMBULIZI LA IRAN DHIDI YA ISRAEL
Jumanne April 16, 2024
Jeshi la anga la Israel linakamilisha maandalizi ya mwisho Ili kuivamia Iran
Israel yaitaarifu Marekani kuwa italipiza kisasi dhidi ya Iran
Waziri Mkuu wa Uingereza Sunak kuzungumza na Waziri Mkuu Benjamin Netanyau...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha.
Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake...
Wadau hamjamboni?
Hatimaye siri zimetoka hadharani
Ushahidi mpya umepatikana unaothibitisha kuwa Serikali ya Iran ndiyo mfadhili Mkuu wa magaidi wa Hamas na hadi kufikia Oktoba 7, 2023 walikuwa wamewapatia magaidi hao shs 500.000.000.000 sawa na Dola million 222
Mungu ibariki Israel
Taarifa...
Wadau hamjamboni nyote?
Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi.
Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu na tafsiri ya msemo/ nukuu husika.
Mungu aendelee kuwapa pumziko la Amani Waandishi waliotangulia...
Wadau hamjamboni nyote?
Waziri wa mambo ya Usalama mwenye msimami mkali kutoka Chama Cha Yehudit amwambia Waziri Mkuu Netanyau kuwa asithubutu kusitisha vita dhidi ya Hamas bila kuivamia Rafah
Waziri huyo Ben Gvir amesema ikitokea Netanyau amesitisha vita bila kufanya mashambulizi makubwa...
Wadau hamjamboni nyote,
Kiongozi mwingine wa ngazi za juu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah auawa na Jeshi la Israel Katika mji wa as-Sultaniyah huko Lebanon ya Kusini.
Ali Ahmed Hassin akiongoza kikosi maalumu cha askari wenye Weledi mkubwa almaarufu Radwan na aliuawa kwa shambulizi la...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Mahakama Kuu, Zanzibar imebatilisha kifungu cha 33(1) cha Sheria ya Kudhibiti Vileo (LCA) ya mwaka 2020 kinachoweka ukomo wa kampuni zinazoruhusiwa kuagiza vileo ikisema kinakinzana na Katiba ya Zanzibar.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji George...
Wadau hamjamboni nyote?
Kitabu cha 1 Wafalme 1-4 kinaeleza kisa cha kuugua k wa Mfalme Daudi na jinsi wasaidizi wake walivyomletea Binti mrembo ambaye alimhudumia Mfalme Daudi kwa njia mbalimbali ikiwemo kulala kifuani kwake lakini kamwr Mfalme Daudi hakufanya naye mapenzi
Wapendwa siyo lengo...
Wadau hamjamboni nyote
Habari mbaya kutoka.
Wezi wamevunja na kuiba mahindi ya Kande kilo 50, Maharage kilo tano, mafuta Lita moja na nusu usiku wa kuamkia jana. kwenye Kanisa la Waadventista Wasabato Kibiti
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji Protas Mutayoba amethibitisha tukio hilo na...
Wadau hamjamboni nyote?
Pichani ni Kapteni Mabior Garang akiwa amesimama nje ya nyumba ya Mama yake huko maeneo ya Jebel karibu na Mlima Kunjur
Mabior ni mtoto wa Muasisi wa Taifa la Sudan Kusini hayati John Garang aliyefariki kwa ajali ya helicopter akitokea nchini Uganda
Mabior amewahi...
Wadau hamjamboni
Hiyo ndiyo taarifa mpya kabisa kutoka vyanzo vya kuaminika
Kuwa Serikali ya Kiislamu ya Iran imeamua rasmi kuishambulizi Israel moja kwa moja mwishoni mwa wiki ijayo kabla ya kuisha mfungo wa Ramadan Ili kulipiza kisasi dhidi ya shambulizi la Israel kwenye ubalozi wa Iran...
Wadau hamjamboni nyote
Najiuliza
Makanisa yaliyojitenga yakipinga mafundisho yanayoenda kinyume na maandiko ya Kanisa la Katoliki ndiyo kwa sasa yanaongoza kwa mambo yasiyompendeza Mungu:
Manabii na Mitume feki, Kashfa za mauaji, Imani za Ushirikina, Mifarakano ya kifamilia, Migogoro...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni kauli ya kushangaza kutoka kwa Mzee mmoja wa Kanisa la Wasabato ambaye tulikutana kama ilivyo desturi kwenye kijiwe cha kahawa na tangawizi maeneo ya Tegeta.
Mada ya siku hiyo ilihusu amri kumi za Mungu huku tukikazia amri ya Saba inayokataza Zinaa kama...
Wadau hamjamboni nyote
Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala
Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu
Gharama zake za kutisha
Nimeweka kiambatanisho Kwa rejea yenu
Niwatakie mchana mwema wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.