Habari wakuu wa technology humu jukwaani naomba kujuzwa kuhusu hii simu nataka niichukue wiki hii, camera uwezo wake maana ni ya biashara na uwezo wa vitu vingine pamoja na changamoto zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni 12pro, samabani wakuu
Miaka kadhaa nyuma katika harakati za maisha nilikutana dada mmoja (ameolewa ila mumewe mtu mzima sana) tunatoka mkoa mmoja tukazoeana sana, maana nilikuwa namuuzia bidhaa. Baadae akaomba nimsaidie kukaa dukani kwa muda mfanyakazi wake walitofautiana.
Baada ya muda kidogo kupita akaniletea...
Habari za siku wana JF,
Kuna dada mmoja kabila lake msukuma tulifahamiana kazini kwangu nkaanza kumtania na tukajenga urafiki kwa muda mfupi tukawa tunachati kiasi, katika kunipeleleza kwake nilimwambia ukweli wa maisha yangu kimahusiano idadi ya watoto nilionao akanisema kwa tabia mbaya...
Hivi hii ndio ile timu manara alisema wanaitaka baselona? Tena ile bisolona yenyewe kabisa?
Na kipigo cha leo ni laana ya kuidharau Barcelona kiasi kile...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu aliniambia kuna biashara nzuri nataka nikuunganishe upate hela bila kutumia nguvu nyingi, na wala hutumii ela nyingi,
Nikimuuliza biashara gani hasemi, siku akaniambia kama una mda njoo maeneo ya sinza kwa remy nikipeleke kwenye mchongo wa ela,
Nikafika pale kanielekeza alipo...
Heshima kwenu,
Nina hali ya upweke wa hali ya juu sana umenitawala kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni,
Muda wote nawaza tuu mambo ya ajabuajabu,
Nina watoto watatu na mwanamke ninaeishinae na wawili wa nje ila huyo mmoja mama yake nimemkatia tu mawasiliano ghafla mwezi wa 3 huu sipokei wala...
Hakuna kitu kinakera kama kuingia lodge unakuta wana vitanda vizuri lkn godoro la hovyoo, ukilala kama shimoni bwana, bora kitanda cha hovyo godoro liwe zuri. Afu unakuta lodge nzuri tuu kwa muonekano.
Jana jioni natoka kazini kuna wadada wa2 tunafanya kazi mtaa mmoja waliomba lifti niwasogeze, huyo mmoja ni mdangaji kiasi sasa katika story wakamuongelea jamaa mmoja wa mtaani alikua na mahusiano nae, nikamtania naona unataka kuolewa mke wa 2, akasema "kwa yule hapana namlia hela zake tu, mtu...
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za anaedukuliwa?
Naombeni msaada wakuu, maana nahisi nadukuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hali hua inanitokea na hii ni tangu nakua nimegundua hili,
Inapotokea ninapo onana na jinsia ya kike kwa mara ya kwanza alafu akanivutia sana, sasa kadri ninavyozidi kumuona na hata pengine kumzoea anazidi kunibadilkia hadi mwisho wa siku namuona wa kawaida sanaa,
Sasa na kwa wale ambao...
Baada ya miaka 10 ya kutumia TECNO sasa nimehamia Samsung,
Tatizo linalonisumbua sipati sms na notification za wasap, jf, fb kwa wakati,
Yaani mpaka niifungue application husika ndio sms na notification zinaingia mfululizo hata zilizotumwa siku kabla sijaigia, sasa sijui ndio sumsung zilivyo au...
Habari ya hapa wakuu,
Naomba kwa anaefahamu namna ya kujua kama tairi imexpire au bado, maana naenda kununua tairi leo ndio nikakumbuka kuna uzi nilishawahi kuuona huku miaka ya nyuma ukielezea jinsi ya kujua kama tairi haijaxpire,
Kwa anaefahamu naomba kujuzwa tafadhali.
NB. Naenda kununua...
Wakuu habari za weekend,
Kuna rafiki yangu kanijuza kuna maeneo yanauzwa na Serikali ya kijiji huko Bagamoyo mkoa wa Pwani sehemu inaitwa Ogogoni.
Kama yupo mdau humu mwenye kujua hili anijuze zaidi kama yana usalama na hakuna mihogoro huko.
Mimi natarajia kufika huko kesho nikacheki...
Habari wakuu,
Nahitaji ushauri wa haraka kwa kweli maana nnakoelekea hali yangu itakua mbaya sana,
Miaka mitano imepita tangu nioe na tuna watoto watatu na mke wangu lakini katika miaka yote hiyo nimeshindwa kuacha tabia ya kupenda kugegeda wanawake tofauti, mke wangu nampenda sana tena sana...
Habari wana jf,
Mwaka 2012 kipindi cha sikukuu nilienda kijijini kutembelea ndugu zangu, baada ya siku kadhaa dada yangu akaomba nimpeleke kwa rafiki yake hawajaonana siku nyingi,
Tumefika pale baada ya muda kakaja katoto ka kike kana miaka mitano kasoro, yule mwenyeji wetu akawa anatuambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.