Sio vijana tu peke yao ndugu,hata watu wazima wapo wanaofanya hayo mambo bungeni sio vijana peke yao.
Kwa dunia ya sasa hivi hayo mambo yapo kwa kila umri.
Acha kudharau Wanawake, hivi unajua ni Wanawake wangapi wana struggle peke yao kila siku bila hao Wanaume kwa ajili yao na watoto wao?
Wengine katika kukua kwenu huyo Baba alikuwa ni wa kubeep tu, ni Mama ndiyo aliye struggle peke yake, kwa
biashara ndogo ndogo, kulima tena kwa Jembe la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.