Wakuu, naomba msaada wa ku-upgrade window 7, kuto home edition kwenda pro edition. Niliwahi kuiona hiyo thread hapa, lakini leo nimeitafuta bila mafanikio.
Nimejikuta nimevamiwa na kirusi kinachojiita RECYCLER ambacho huambatana na folder jingine linanoji-create kwa jina la "System Volume Information" Naombeni njia rahisi ya kuiondoa hii kitu.
Shirikisho La Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemsimamisha kazi afisa habari wake, Florian Kaijage (pichani) kutokana na fedheha ya kushindwa kutimiza itifaki muhimu ya kupiga nyimbo za taifa wakati wa mechi ya Taifa Stars na Morocco jumamosi jijini.
Rais wa TFF, Leodegar Tenga amewaambia...
Wakuu naombeni msaada kidogo kuhusu haya malipo wanayodai wanasheria pindi unapopeleka nyaraka zako waziidhinishe. Hivi, sheria inasemaje, ni halali kuwalipa kwa kazi hiyo, na kama ni halali ni shilingi ngapi wanatakiwa kulipwa kisheria. Manake kuna wakati nilipeleka fomu zangu mahakamani...
Wandungu,
Naomba mnisaidie kujua ni vigezo gani vinatumika kujua hii ni serikali ya awamu ya ngapi, au huyu ni Rais wa awamu ya ngapi. Je ni kubadilika kwa Rais, au ni kuingia kwa ngwe nyingine ya uchaguzi (hapa nikimaanisha kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa Rais) Kama hoja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.