Mkuu Rakims,
Na mimi nina tecno T611S, nime-download kutoka kwenye hiyo link, ikaenda vizuri tu, wakati wa ku-install inakwenda kwenye browser ili ifungue website ya "Whatsapp legal..." ikifika hapo inasema java script is not enabled in my browser. Naomba kujua kama kuna namna yoyote ya...
Hongereni sana Moderators! JF imekuwa sehemu ya maisha yangu, yaani siku ikipotea kidogo tu huwa napata homa. Muendeleze ubunifu wenu kwa faida ya taifa. Tuko pamoja!
Itabidi Rais ajaye awe anateua wapagani tu. Naamini hilo litapunguza hizi fikra. Hatari ninayoiona ni hii, kila tukisikia uteuzi fulani, jambo la kwanza tunalokimbilia kulitafuta ni dini ya mteuliwa na wala sio weledi na utendaji kazi wake.
Mkuu watu8 umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo Tumaini P/S, daftari likijaa unaenda kwa mwalimu wa somo anakusainia then unaenda kwa mwalimu wa darasa anakupa daftari jipya.
Wana-Jf, kutokana na mlolongo wa mtoa mada hii inadhihirisha kuna msukumo wa bifu kati yake na mkurugenz aliyemtaja? ukiangalia na kufanya analysis utakuta hapo hakuna kitu, maelezo yake yote yamejaa ubabaishaji na wivu. Kama mimi ningekuwa bosi wake na kwa hakika namshauri amtafute na amtimue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.