Niko serious, haya maisha bila kuwa na mwenza hayaendi kabisa.
Umri wangu ni 30yrs
Elimu ni Bachelor degree
Rangi ni Maji ya kunde
Mrefu wa wastani
Sifa za mwanamke asiwe mwanamke chakaramu
mtoto wangu nahisi anateseka maana jicho litoa matongotongo. Hapo mwanzo tulishauriwa mama yake amkamulie maziwa yake lakini bado hali inaendelea. Halafu ni siku ya nne hajapata choo. Ni mtoto wa mwezi mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.