Search results

  1. libent

    Nahitaji mchumba baadae awe mke wangu

    Niko serious, haya maisha bila kuwa na mwenza hayaendi kabisa. Umri wangu ni 30yrs Elimu ni Bachelor degree Rangi ni Maji ya kunde Mrefu wa wastani Sifa za mwanamke asiwe mwanamke chakaramu
  2. libent

    barua ya wazi kwa ben saanane

    Hivi Madame B ataacha lini tabia ya kuwapanga wanaume
  3. libent

    barua ya wazi kwa ben saanane

    siku si nyingi utaitwa cha wote a.k.a maharage ya mbeya
  4. libent

    barua ya wazi kwa ben saanane

    Umeachana lini na The secretary?
  5. libent

    LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

    wananchi walio wengi wamekuja kuwashangaa hao wasanii yaani wamekuja kuburudika
  6. libent

    Namtafuta mtu anayeitwa Salmin Dauda,

    Mkuu nimekupm tayari msaada wako ni mali kwangu
  7. libent

    Namtafuta mtu anayeitwa Salmin Dauda,

    Hapana sipajui na mimi niko huku mkoani wala ofisi yake sijui iliko
  8. libent

    Namtafuta mtu anayeitwa Salmin Dauda,

    Jamani mwenye contact zake naomba anisaidie alikuwa mwalimu wangu. Now ni CEO wa Tanzania Youth Bank. Kama unamjua naomba unpm tafadhali
  9. libent

    msaada: mwanangu jicho linatoa matongotongo

    mtoto wangu nahisi anateseka maana jicho litoa matongotongo. Hapo mwanzo tulishauriwa mama yake amkamulie maziwa yake lakini bado hali inaendelea. Halafu ni siku ya nne hajapata choo. Ni mtoto wa mwezi mmoja
  10. libent

    Rais Kikwete ahutubia taifa mwisho wa mwezi Februari

    heee kamaliza aisee tunae rahisi sio raisi
  11. libent

    Rais Kikwete ahutubia taifa mwisho wa mwezi Februari

    kwa nini hautubie usiku na anahutubia saa ngapi maana naona TBC wameweka michezo ya maigizo
  12. libent

    Jamani huyu aliyeko alieko na prezidaa ni nani????

    na huyo aliyeko upande wa kulia ni nani ?
  13. libent

    Majina maarufu ya Kihaya

    Hilo la Katemana mbona ni utata
  14. libent

    Natangaza nampenda "Smile"

    Si vibaya ukavunja ukimya
  15. libent

    IDs za JF na Matukio

    Hiyo chaka it means The Revange
  16. libent

    Ni rahisi kuwatambua

    wandengereko na kabila lingine kama hilo nimelisahau almaarufu waswahili wao huongea kama chereani, hawaongei kwa nukta
  17. libent

    Ananitekenya kwenye kiganja kila tukishikana mkono!

    Maneno yako hayapishani na ID yako
  18. libent

    Men/husband battery is alarming!

    Bishanga leo umelala saa ngapi?
  19. libent

    nini kinakukera jf?

    Dah hapa umeniacha hoi kiwiliwili kinafanya kazi sio ! Lol
  20. libent

    Mapenzi kizungumkuti

    hawa kama sio wakutoka Iringa sijui!!
Back
Top Bottom