Niende moja kwa Moja kwenye topic,Wakubwa Mambo yanakwenda kasi sana kwakweli na kwa jinsi hali hii inavyoshika hatamu kuna uwezakano mkubwa Style ya Dada poa Kusimama na kujiuza barabarani ikapungua kwa kiwango kikubwa sana , nimegundua njia zinatomika na hawa dada zetu kufanya biashara haramu...
Jeshi la Polisi naomba niwambieni Jambo.
Je mnafahamu hii Dunia inakwenda kasi sana ? Tambueni Technolojia inakua kwa kasi ya ajabu sana,Elimu ya Uraia inatolewa kwa kiwango kikubwa sana na Serikali,Taasisi na hata watu Binafsi,tambueni Elimu hizi zinaabadilisha fikra za watu juu ya kuzifahamu...
Ila ni swala la Nyakati tu ndio litashape Mwendendo wa polisi,Kwa hali inavyokwenda Wananchi wengi wametoka uwoga kabisa na wanakataa kuonewa kama ilivyokua awali, Wananchi wengi wamepata japo elimu ya juu juu jua ya maswala ya Haki zao za msingi.
Itafika mahala Automatically tu Polisi...
Awali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi...
Sheria zetu zinasemaje juu ya hili?
======
MWANAMKE ALIYEPIGANA NA JAMBAZI MWENYE BASTOLA NA KUFANIKIWA KUMUUA
Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana...
Hii Spirit waliyonayo BAWACHA aise ni ya kuhamisha Mlima. Wana Moral ya hatari kitu ambacho ndani ya BAVICHA wakiwa kama vijana hakipo kabisa, sina mengi ya Kuzungumza ila ningekua Kiongozi wa Chama kile Either niwape mda mfupi sana wa kujitathmini BAVICHA kama BAVICHA ama Suddenly ningefumulia...
Embu fanyeni kama mnaweka Tena Update ya huu mchongo na sisi wageni wa thread tupate namna ya kucatch up ..maana nimefuatilia lakini sijaona ilipoanzia naoana tu watu wanafurahi mtelezo.
Shusheni hap upya wakuu
Hii labda iwe Thread ya kupata references mbali mbali za namna Raisi wa Awamu ya tano John P Magufuli alivyoweza kufanikisha mambo mengi kwa mda Mfupi sana,wapo wanajua njia zilizotumika na huwenda zinaweza kusadia kukimbiza mambo kwa sasa kwa yale yote yanayonekana kama vile hayaendi tena kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.