Habarini wakuu,
Natumai mu wazima wa afya njema. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada twaja.
Nadhani tunamhamu bwana Kigosi ambaye wanamwita Ray. Wakuu hili halina ubishi huyu bwana ni bingwa wa movie za kuongoza makampuni na kukaa ofisini. Na hata ukimsikiliza pindi akiwa ameshika uhusika...
Hahahaaaaaaaa kwanini mkuu, mimi ni kidume mkuu, kama tatizo ni kuwa handsome mkuu Sasa nafanyeje, maana vibinti vinajikanyaga vyenyewe. Na mimi ni kuvikanyaga tu hamna namna
Habari wana jamii forum.
Kiukweli hili halina ubishi wakuu.
Ukimskiliza huyu dogo anavyoimba sijaoana wa kumpanisha naye hapa Afrika.
Nilipomalza kumsikiliza kila mtu alikataa akasema huyu dogo labda kakulia marekani. Kila mtu alikili kuwa huyu msanii sio wa Afrika hii.
Ukisikiliza vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.