Search results

  1. Mema Tanzania

    Mema Magazine jarida lenye kulenga vijana

    Mema Tanzania Jumamosi ya tarehe 17 Aprili, 2020 tulizindua jarida la Mema Magazine toleo la kwanza linalofahamika #Tumesomeka likiwa katika programu maalumu ijulikanayo kama Sauti Huru. Jarida hili limesheheni maudhui yanayohusu masuala yafuatayo;- Afya na usawa na kijinsia Uraia na...
  2. Mema Tanzania

    Tuangazie rushwa adui wa maendeleo

    Tuangazie #Rushwa Rushwa ni aina ya ukosefu wa uaminifu au kosa la jinai linalofanywa na mtu, taasisi, au shirika lililopewa madaraka, kujipatia faida haramu au kutumia nguvu vibaya kwa faida binafsi. Rushwa inamaliza imani, inadhoofisha demokrasia, inakwamisha, maendeleo ya uchumi na...
  3. Mema Tanzania

    Ukeketaji dhidi ya wanawake na mabinti

    Kila mwaka ifikapo tarehe 6, Februari dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji. Je, unatambua wanawake na mabinti takribani milioni 7.9 wamepitia ukeketaji Tanzania? Licha ya serikali na wadau mbalimbali kupambana vilivyo na ukeketaji, kuna maeneo bado ukeketaji dhidi ya...
  4. Mema Tanzania

    Elimu ni ufunguo wa maisha

    "Elimu ni ufunguo wa maisha". Moja ya msemo ambao tumekuwa tukiusikia tangu awali. Ni kiasi gani msemo huu umeakisi maisha yako baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu?
  5. Mema Tanzania

    Nguvu ya muziki katika kuwainua mabinti

    Our Live #YouthChat Series continues with a Bang! After Danny Morgan, Cooogi, Erick Gyabo and many more - this Wednesday 7th we are going a little bit deeper into the business. We are proud to present you our next Guest. LyRanda Aalece singer/songwriter & our goodwill ambassador Ms. LyRanda...
  6. Mema Tanzania

    Vitabu vitano vya kukuza ujuzi wa fashion

    Moja ya tasnia kubwa duniani ni fashion, kazi ambayo inaweza kuwa career ya kijana kama akiwa na interest nayo. Kwa mujibu wa www.indeed.com fashion designer duniani wanaingiza wastani wa $6,000 (takribani milioni 14) kwa mwezi. Ukifanya tathmini kwa mazingira ya Tanzania, tasnia ya fashion ni...
  7. Mema Tanzania

    Dondoo 5 muhimu kabla hujanunua bidhaa ya chakula

    Umewahi nunua chocolate ile unaipiga paap! inapukutika kama biscuits? Ujue umenunua bidhaa ambayo imekwisha muda wake. Kabla hujanunua bidhaa za kula ni vyema ukazingatia dondoo zifuatazo. 1. Jina halisi ya bidhaa Vyema ukajiridhisha bidhaa unayonunua jina lake halisi ni lipi kwani sokoni...
  8. Mema Tanzania

    Kanuni nne za kujijengea kuepuka mnyororo wa muongozo wa fikra za kijamii

    The Four Agreements ~ Don Miguel. Don Miguel ni moja ya waandishi nguli duniani. Ni mtunzi wa vitabu maarufu The Mastery Love, The Voice of Knowledge na Prayers. Katika kitabu cha The Four Agreements ameelezea kanuni kuu nne ambazo mwanadamu anaweza kujijengea na kuepuka mnyonyoro wa...
  9. Mema Tanzania

    Una vigezo vya kazi, kwanini unakosa kazi?

    Na Abby Msangi Tanzania ni moja ya mataifa yenye idadi kubwa ya vijana ikikadiriwa kufikia zaidi ya milioni 25. Kwa wastani zaidi ya vijana laki nane (800,000) huingia katika soko la ajira kila mwaka huku uwezo wa uzalishaji wa kazi zenye tija (ajira rasmi) ni kati ya 50,000 mpaka 60,000 kwa...
  10. Mema Tanzania

    Fahamu Mema Clubs kwa Ufupi

    Mema Tanzania inawatengenezea vijana mazingira salama (Safe Space) kwa kuanzisha Mema Clubs shuleni kwa ajili ya kujadili na kuchukua hatua dhidi ya changamoto zinazowakabili. Katika Mema Clubs vijana hujifunza mambo kadhaa ikiwemo afya ya uzazi, hedhi salama, stadi za maisha kupitia muundo wa...
  11. Mema Tanzania

    Kesho tutazichambua chuya, pumba na mchele uliokuwa safi mubashara!

    Kesho tutazichambua chuya, pumba na mchele uliokuwa safi mubashara! kupitia Instagram ya Mema Tanzania | Hapa! Jeremiah Wandili, Pale! Ongea Radio, Kule! DJ na mtayarishaji wa kimataifa Bassjacked atakayehakikisha upweke na mawazo ya karantini yanakuwa isolated. Ni Jumamosi hii! 2 Mei, 2020...
  12. Mema Tanzania

    Siku ya ufahamu kuhusu usonji/tawahudi duniani

    Ikiwa leo ni Siku ya ufahamu kuhusu usonji duniani tutizame kwa uchache kuhusu suala hili Usonji au tawahudi kwa kiingereza autism ni tatizo la nafsi na hisia linalowatokea watu angali watoto na kuathiri uwezo wa kuwasiliana na wengine. Wenye tatizo hawaonekani watu wa kawaida. Muda mwingine...
  13. Mema Tanzania

    Mimba za utotoni ni mkwamo mkubwa kwa mabinti walio shule

    Mimba za utotoni ni moja ya mkwamo mkubwa wanaopitia mabinti walio shuleni kuweza kutimiza ndoto zao. Katika kipindi hiki cha likizo ya ghafla hatari ya mabinti kupata mimba ni kubwa zaidi. Hata hivyo yafuatayo yanaweza kukusaidia kuepuka vishawishi na matamanio ya kingono;- Fanya mazoezi ya...
  14. Mema Tanzania

    Umuhimu wa kujitolea katika kukuza soko la ajira

    #KIPOPOONFRIDAY KUJITOLEA ni kitendo cha mtu au kikundi cha watu kufanya kazi mahali fulani kwa kusudio la kukuza ujuzi au kusaidia jamii pasipo malipo ya rasmi. Kujitolea hutambulika kama shughuli halali na ya hiari na mfanyakazi anaye jitolea anaamua kuifanya kwa kuzingatia masharti ya...
  15. Mema Tanzania

    Happy Women's Day

    Happy Women's Day Mema Tanzania inawatakia kila la kheri katika siku hii ya mwanamke duniani. Siku hii iwe ni yenye tija, ufanisi, uwajibikaji, utendaji na kuweza kuwa chachu ya maendeleo kwa mwanamke, jamii na taifa endelevu. Yafaa itumike kwa yaliyokuwa chanya na bora kwa kizazi cha sasa na...
  16. Mema Tanzania

    Mchango wa wanawake katika maendeleo nchini

    #KIPOPOONFRIDAY MCHANGO WA WANAWAKE KTK MAENDELEO NCHINI Tanzania ni sehemu ya mataifa mengi duniani ambayo yanaadhimisha siku ya wanawake duniani. Mwanamke ameendelea kuwa nguzo ya ujenzi wa uchumi nchini licha ya wengi wao kukumbwa na umaskini wa kipato (Income Poverty). Takwimu zinaonyesha...
  17. Mema Tanzania

    Did you know? Secondary school girls are 3x less likely to become child brides

    Did you know? Girls who complete secondary school are 3x less likely to become child brides. #EachforEqual #IWD2020 #KizaziChenyeUsawa
  18. Mema Tanzania

    Je, wajua kazi zinazofanywa na wanawake zingetengeneza nusu ya ajira?

    Wanawake nchini Tanzania hutumia wastani wa zaidi ya masaa 6 kwa siku kufanya kazi zisizokuwa na malipo kama kupika, kuchota maji - ukilinganisha na masaa 3 tu wanayotumia wanaume. Kama kazi wanazofanya zingegeuzwa kuwa za malipo zingetengeneza zaidi ya nusu ya ajira zilizopo. #IWD2020 #EachforEqual
  19. Mema Tanzania

    Siku ya wanawake duniani ina maana gani? Chimbuko, Malengo na Kumbukumbu zisizosahaulika

    #TatuZaJumatatu SIKU YA WANAWAKE DUNIANI INA MAANA GANI | CHIMBUKO LAKE Mwaka 1908 kulitokea mtafaruku na mjadala mkubwa kuhusiana na wanawake ikumbukwe miaka hiyo kulikuwa na unyanyasaji na kutokutambulika kwa haki za wanawake hali iliyopekea wanawake kuanza kupaza sauti na kuendesha kampeni...
  20. Mema Tanzania

    Tatu za jumatatu: Artificial Intelligence, Robotics, Machine

    #TatuZaJumatatu AI | Robotics | Machine AI ‘Artificial Intelligence’ AI ‘Artificial Intelligence’ ni sehemu ya computer science inayohusika na utengenezaji wa machines zenye kufanya jambo kwa kutegemea HI ‘Human Intelligence’. Machine hizi zinauwezo wa kuelewa matakwa ya sauti, kutambua...
Back
Top Bottom