katika hali isiyo ya kawaida kuna siriimevuja kutoka kikao cha wazee wa mabaraza ya kata yaliyoundwa na wazee mashuhuri wa kihehe kutoka kata zote za mkoa wa iringa kilichofanyika kikombwe tanangozi chini ya uongozi wa mzee maarufu aliyekuwa ni time kipa wa mikutano ya kimila enzi za chifu...
kuna mkakati mzito unaandaliwa kulishtaki bunge kwa kuruhusu watu na taasisi mbalimbali nchini tanzania kuzushiwa tuhuma zisizo na uthibitisho ambao kiti cha spika kilipaswa kuomba uthibitisho wa tuhuma mbalimbali ili ibakikwenye hansard lakini kiti kimekuwa kikiacha tu na madai yao hawa jamaa...
vipi unakumbuka kina -niangushage mwenyewe! hizi zitakuwa dhambi zako mwenyewe
maisha yalikuwa ni matamu iringa tanangozi na basili la milango miwili na nyota basi servise jioni linatoka tanangozi linaingia mjini na wanywaji kibao. hii ya leo ni inside iringa kama mtu wa iringa hakuyaona haya...
umenikumbusha miaka ya 1985 kulikuwa na mzee mmoja mburushi anaitwa mzee gullam shambe (jg) alikuja shule high land kusikiliza mashtaka ya mtoto wake anaeitwa gullam. Na mashtaka yake ni kuwa mtoto wake huyo alikuwa hataki shule anashinda viwanja vya sabasaba kwenye hotel anakunywa chai mwalimu...
maajabu yanapaswa kuingizwa kwenye pilisner lager book yaani kusafarisha vitabu 300 kutoka Dar EsSalaam mpaka Dodoma inachukua siku nne mbona Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo aliagiza mafuta ya kuwashia mitambo ya umeme yapelekwe ubungo sijui ilikuwa lita ngapi na chombo...
MSIMLAUMU NYIE WALIMU:target: HAMNA HABARI KWAMBA JIMBONI KWAKE SERIKALI ILIVYOKUWA INASAFIRISHA SHULE ZOTE IKAPELEKA PUGU DAR ES SALAAM AU PALE VINGUNGUTI DAR ES SALAAM WAZAZI WAO WALIKUWA WANACHEKELEA TU (note yaani sidhani kama walikuwa wanauza ng'ombe kwa bei ya soko wangelipwa kama bei ya...
SIKU ILE UMEKUJA KUTOA MCHANGO WA KATIBA MIE NILIJUWA LEO UNAKUJA ZUNGUMZIA MAENEO AMBAYO TANGU UMESHIKA UWAZIRI MKUU YAMEKUWA YANAKUGARAGAZA SANA WEWE NA SERIKALI YAKO YAANI MAWAZIRI WALIOKOCHINI YAKO;-
Kwenye eneo la haki ya kuwa hai
katika katiba ya sasa kifungu 14 ;
Kila mtuanayo haki ya...
hawana la kusema juu ya mtwara achen pinda atekeleze ahad yake
pinda huyuhuyu au mwingine?
kama ni huyohuyo hajamjua yule kuwa ni kichwa cha mti wa mpingo kama kikisha chongwa huwezi kukibadilisha sura yake labda ukipasue pasue tu.
NINGEKUWA NA MIMI KAMA KINA CHAUSIKU KAMA WANAVYOITWA HAPA MTWARA NA WATUNZANIA WENGINE NINGEMSHUSHA
B..U..S..H..A..
[:boink: :usa: :sleepy: :happy: ]
WALA HUHANGAIKI KUMPELEKA MABWE HAPA NDE.
ILI AWE ANAVAA MSULI MPAKA UCHAGUZI MKUU 2015 NA UCHAGUZI UKIPITA BASI NAMPANDISHA NA SIJUI KAMA...
hana jipya mh hk kwanza amezoea nguvu za giza, pili ni shekhe ubwabwa akiona turubai anajua kuna shghuli anakunja msuli anakaa anasubiri msosi kumbe shghuli ilikuwajana na hatujalipia turubai la watu, tatu anajibembeleza kwa mheshimiwa mama hawa ghasia anasiri ya yule mama ukiboko aliomfanyiya...
vipi wewe kupitia radio clouds kwenye mgomo wa madaktari mbona uliunga mkono wakati watanzania wanakufa. Usijisheuwe hapa kumbe na wewe ni .ni mfuasi wa shetani ambae hushangilia vurugu na ugomvi..hasa kama hizo vurugu ni kwaajili ya kutafuta shibe au wewe ukishangilia vurugu na ugomvi basi...
hapana huyu sio kihiyo huyu ni mheshimiwa william vangimembe lukuvi mbunge wa jimbo la isimani wilaya ya iringa vijijini mkoani iringa ni kati ya wasomi waliojazwa ndani yao wa elimu ya masomo ya juu msingi kwa maskini na kupata cheti hicho na kwa wenzetu waingereza nadhani cheti hiki kingeitwa-...
Haya THE BIG SHOW.
Nilikuambia kwamba time will tell. Umesikia Story za Tume zimeishia wapi? Nilikwambia wana Mtwara watalia machozi mekundu.
Mstakabali wenu wa gesi na muafaka umekabiziwa kwenye mikono ya the same people walio usababisha. Sasa mnategemea nini
HII NILIUTUMA WAKATI WAZIRI MKUU...
1.Aliishi miaka milion tatu iliyopita 3.000.000 kabla ya kristo BC
2.mzungu wa kwanza kuliona ziwa victoria
3.mwanamme hutoa mbegu milion kadhaa (kwa kila mshindo
4. HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI INAHITAJI ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA SABA TSHS 700,000,000.00 ILI IWEZE KURUDI KATIKA HALI...
huyu mchangiaji tazizo linaweza kuwa sio shule za kata.sana sana unaweza kumkuta huko kwao serikali ilisafirisha walimu wote ikawapeleka dar es salaam kama inavyopeleka gesi.
yaani nyie acheni waseme tupo huku mijadala inaendelea leo tulikuwa tunatafakari kauli ya mh pinda kusema eti tulidanganywa gesi inaenda kwa kikwete bagamoyo tuna linganisha na kauli ya waziri muhongo kama kweli anatutukana kwamba sisi niwapuuzi eti gesi inaenda nyumbani kwa kikwete tunamshukuru...
Kwa style ya kina maswi na mhongo wamweke mtu wa tarime hukoko kwao nadhani waliongalia mahojiano ya kwenye tbc mtaalamu wa sheria za mikata inayoingia nchi jamaa nadhani ametoka mkoa mmoja na werema nadhani sasa hivi hakuna mkataba mbovu nchi imengia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.