Search results

  1. Rufiji dam

    Mtandao wa TAUSI na mfumo wa TRA umekufa ama kuna njama

    Ni wiki sasa mfumo wa kukata Leseni za biashara kupitia TAUSI haufanyikazi na hata ule wa TRA haupo sawa. Je kuna tatizo ama ndiyo tujiandae kukadiliwa kama zamani na kupata leseni za biashara kutoka Halmashauri kuwa za kitabu.
  2. Rufiji dam

    Msaada napatwa na vichomi kwenye moyo nini tatizo?

    Habari zenu wadau. Nimekuwa nasumbuliwa na kupatwa na vichomi katika moyo sijui tatizo ni nini? Mwenye kujua aina hii ya maradhi na jinsi ya kutibiwa anipe mwongozo. Msaada
  3. Rufiji dam

    RPC Tabora, mchunguze askari george Thomas Chuwa wa Sikonge. Hana maadili

    Mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kuhusu suala la uwajibikaji katika Jeshi la Polisi. Kumekuwepo pia na visa na mikasa mingi ya uaminifu kati ya raia na Jeshi la Polisi. Serikali ya Mama Samia ikaja na tume ya Haki Jinai ili kuangali jinsi ya upatikanaji wa haki, jeshi la polisi limeongoza...
  4. Rufiji dam

    Hawa trafiki wawili akina mama ni kero barabara ya zamani Kimara Stop Over kwa Mbuyeko

    Hawa akina mama wawili imekuwa ni kawaida yao kila wiki kuja kusimamisha magari hii barabara ya zamani ya Morogoro maeneo ya Stop Ova. Muda huu wanaleta usumbufu usio na tija. Kamanda wa kikosi cha barabarani wakabili hawa akina mama.
  5. Rufiji dam

    Wazazi wengi wanakimbia school Bus wanatumia Bodaboda kupeleka na kurudisha watoto shule. Polisi angalieni hili.

    Sijui ni kuepuka gharama za kulipia school bus ama ni kuwaepusha watoto na mzunguko mkubwa wa haya mabasi ya shule. Sasa hivi kumeibuka tabia ya wazazi kuwatumia bodaboda kama njia rahisi ya kuwachukua watoto kutoka shule hizi shule za Kiingereza, huenda ni njia rahisi ya kuepuka gharama...
  6. Rufiji dam

    Maroli ya ASAS na Polisi tatueni kero ya foleni Korogwe na Kimara Stand

    Mmiliki wa ASAS kuna kelele zinapita kwa watu kuhisi una nguvu sana katika serikali hii wakiunganisha na uhusiano wako na timu Msoga. Magari yako ya mafuta yamekuwa kero sana hasa jioni yakiwa yamepark na kuchukua sehemu kubwa sana ya barabara. Kero hii inasababisha kutengeneza foleni kubwa...
  7. Rufiji dam

    Mzee Fumbuka kaandika haya someni kuhusu Nyerere

    Asanteni sana marafiki kwa kutenga muda na kunitumia salamu za heri na fanaka nilipokuwa natimiza umri wa miaka 67 hapo jana. Shukrani sana! Niliwahi kusema miaka mingi iliyopita kwamba, yalikuwa ni makosa makubwa sana Nyerere kuwa Rais wa Tanganyika na baadaye Tanzania. Matatizo makubwa ya...
  8. Rufiji dam

    Ya Mwinyi na mgomo wa Muhimbili kukimbilia dansi la Kanda Bongoman na Samia na mgomo wa kariakoo na kuzindua minara ya Azam.

    Miaka ya nyuma nchi ikiwa chini ya utawala wa Ali Hassan Mwinyi ilikumbwa na mgogoro mkubwa wa Wauguzi na Waganga kugoma kutibu watu katika hospital kubwa ya Muhimbili. Mgomo ulikuwa mkubwa sana, sasa ikapangwa Mkuu wa nchi aende kuweka sawa mambo. Lakini akakimbia kikao na akaenda kucheza...
  9. Rufiji dam

    Kwanini Polisi usiku wanapotea mitaani

    Zamani tulizoe vile Vigofu vikipita mitaani vikiangalia hali ya ulinzi, lakini siku hizi hakuna ni kuwa nchi na majiji makubwa usiku yanakuwa bila ulinzi.
  10. Rufiji dam

    RPC Alex Mkama jifunze vyema kuhusu mkoa wa Morogoro

    Kuna mahojiano umefanya na Azam TV kuelekea pambano la Twaha Kiduku. RPC Mkama kweli shule yako inakuambia kbs kuwa Twaha Kiduku ndio kivutio pekee cha Utalii mkoani Morogoro!? Ebu kuweni makini sana mnapopanua midomo yenu kwenye kuongea mambo ya maana. Yaani unaongea kbs bila aibu kuwa watalii...
  11. Rufiji dam

    Kwanini hakuna Zoo ya kufuga Nyati?

    Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo. Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo. Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.
  12. Rufiji dam

    Spika Tulia hana imani na vyombo vya habari vya Umma na CCM

    Spika wa Bunge Dkt. Tulia hivi karibuni katoa kauli ya kuvitaka vyombo vya habari kufikisha kwa usahihi habari za bunge kwa Wananchi. Kitendo cha kuvitaja Jamii Forum na gazeti la Mwananchi, inaonyesha wazi kuwa hana imani na vyombo vya habari vya serikali na chama chake. TBC, Daily News na...
  13. Rufiji dam

    Rais Samia epuka kupokea hii Rushwa, kemea hiyo tabia ife

    Kwanza nikupongeze kwa kuwa kitini kwa miaka miwili sasa, na pongezi kwa kupoza joto la kisiasa. Naona siku hizi imekuwa ni fasheni na upigaji wa hela kufanya sherehe kila ifikapo tarehe ya wewe kuingia madarakani ukitimiza mwaka. Mama na mema yako yote ila umekuwa ukipokea rushwa huenda kwa...
  14. Rufiji dam

    Hii marathoni ya kuchangia bima ya watoto yatima sio utapeli? Maana NHIF katoa hii huduma

    Ukiangalia Azam TV kuna tangaazo linahusu kukimbia mbio kuchangia bima ya afya kwa watoto yatima. Sasa najiuliza bima ipi hiyo, wakati NHIF ameshatoa bima ya watoto je huu sio utapeli na ulaghai. Serikali tupieni macho huu utapeli wa hizi marathoni.
  15. Rufiji dam

    Niliambiwa unataka nilie ama kimyakimya. Kumbe tunaibiwa

    Jana nilikuwa na miadi ya mdada mmoja ambaye nilikuwa namfukuzia muda ila akaleta maringo nikampotezea. Mimi ni muumini wa dhehebu la KATAA NDOA. Sasa juzi huyu dada akanitafuta vuuu msg akaanza lawama sijui nimemchunia, mimi msisitizo wangu uchoyo wake ndio umenifanya nikae kimya. Nikaomba...
  16. Rufiji dam

    Serikali toeni mashine za kamari zinazomea kila uchwao mitaani

    Sidhani kama kwani China wanafanya haya wanayotufanyia. Sasa hivi kumeibuka utitiri wa mashine za kuchezea kamari kila kona katika jiji la Dar es Salaam. Juzi nilikuwa napita sehemu nikasimama kuna kipub uswazi, nikashangaa kuona watoto wadogo wanacheza kamari. Serikali mnaangalia kodi lakini...
  17. Rufiji dam

    Mashirika ya matangazo ndio yanaua vyombo vya habari

    Tokea kuibuka kwa Radio nyingi binafsi kufunguliwa mlango mwanzoni mwa miaka ya 90s. Kukaibuka na kampuni za kijanja za kutengeneza na kusimamia pamoja na kusambaza matangazo ya biashara nazo zikaibuka. Na upigaji ukawa mkubwa. Shirika ama Wizara zikaingia mkumbo wa kununua matangazo kwenye...
  18. Rufiji dam

    TBC1 mnakosea sana watu. Huu utopolo wa kongamano nani kasema anataka? Wekeni mpira

    Hii TBC1 ni zaidi ya ujinga. Kesho napambana na DSTV uzuri ni mwisho wa mwezi. Mpira ni muhimu kuliko hili kongamano lenu la maadili. Wanaovunja maadili ni hao hao CCM wala rushwa.
  19. Rufiji dam

    Ya MVIWATA yapo gizani, ya Bashiru ndio yanapigiwa kelele

    Msukuma na Kibajaji hawa ni watu hatari sana kwa ukomavu wa majadiliano yenye afya. Ukiona hawa watu wameibuka ujue kuna jambo ambalo Wananchi linawagusa, Balozi Bashiru kasema yake, huyu anatabia ya kusema ukweli japo sio mwanaCCM huyu. Anahoja ya maana sana hapaswi kutishwa, na ujinga huu wa...
  20. Rufiji dam

    Ayub Rioba kaingizwa "king" kizembe kuitoa TBC kwenye Free to air katika King'amuzi cha Azam, akipona hili akatambike

    Waziri Nape kashatoa maelekezo TCRA waingilie kati na kutoa ufafanuzi wa kina kwanini kituo cha kurusha matangazo cha Umma TBC, kimetolewa kwenye king'amuzi cha Azam. Dkt. Ayoub Chacha Rioba, huyu alikuwa akilia sana kwenye ukurasa wake wa FB kuwa anahujumiwa. Sasa naona kawapa fursa watesi...
Back
Top Bottom