Zanzibar kanunua Chuchu Fm kashindwa kumalizia deni, hapo mikocheni anadaiwa mpaka hela ya pango na hawezi kulipa wafanyakazi. Msiwe mnadanganyika Furaha ni mwizi.
Huyi dogo Furaha nimpuuzi sana hana akili kbs kuna wakati nilifanyakazi kwake ni tapeli na laghai sana. Kuna jamaa yake mmoja anaitwa Sule na dada yake Pendo nao wanatakiwa kuhojiwa.
Kuwepo na maadamano ya kuandika kwenye mitandao mbalimbali kupinga mishahara hii mkubwa ya Wabunge. Hawana kazi yoyote wanayofanya halafu wanazoa hela zote. Huu ni wizi tukemee.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huyo wa Simba ambaye alikufa kwa Corona ni mmoja wa wadunguaji wazuri sana na ndio maana akawa anambishia Magufuli. Sema Mabere Nyaucho Marando walimuua Tamimu pale Kinondoni Mkwajuni, Nyerere akachukizwa sana na kuuliwa kwa Taminu.
Aliyeleta hii mada ni mbobefu sana kwenye siasa. Unataka kumzalia mtoto mpaka unauliza kama ana mtoto. Heshimu watu dada yangu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ni wiki sasa mfumo wa kukata Leseni za biashara kupitia TAUSI haufanyikazi na hata ule wa TRA haupo sawa. Je kuna tatizo ama ndiyo tujiandae kukadiliwa kama zamani na kupata leseni za biashara kutoka Halmashauri kuwa za kitabu.
Habari zenu wadau.
Nimekuwa nasumbuliwa na kupatwa na vichomi katika moyo sijui tatizo ni nini?
Mwenye kujua aina hii ya maradhi na jinsi ya kutibiwa anipe mwongozo.
Msaada
Ni rahisi sana kumuona Mwanposa ukiwa na cash yako mkononi kuliko kuonana na Waziri yoyote hapa Tanzania bara. Hali ni tofauti sana na Zanzibar wenzetu wapo karibu sana na raia. Na ajabu nyingine hata Mbunge wako kuonana nae mpaka mviziane Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.