Good evening wakurungwa.
Ni muda sasa umepita tokea mzozo wa kataa ndoa, nadhani wale wanaokubaliana na ndoa hawakuwa na hoja zaidi ni hisia tu.
Nikikumbuka moja ya hoja yao kuu ni kwamba wanaoa ili uzeeni watunzwe na wake zao yaani wapikiwe, wafuliwe, waogeshwe n.k
Lakini tuliwapinga sana...
Wasalaam wakuu.
Siku zote tumezoea kuwaona, viongozi mbalimbali kama Raisi na Waziri mkuu wakitembelea miradi mbalimbali ya kwenye halmashauri kukerwa na ubadhirifu ulipo huko.
Hata ripoti ya CAG iliyopita, imeonesha kuna wizi mkubwa tu huko kwenye halmashauri mbalimbali za nchi hii.
Lakini...
Hivi karibuni, kumetokea na wimbi kubwa la taasisi, mashirika na makampuni mbalimbali kutoa nafasi za kujitolea kufanya kazi.
Kimsingi huo ni unyonyaji tu maana wao unawazalishia alafu wanakupa ujira mdogo au kutokukulipa kabisa.
Vijana wengi wameingia huko labda wanadhani kujitolea pengine...
Kama mnavyojua Yanga anacheza fainali yakombe la shirikisho, matumaini yangu kuwa atapata kichapo kikali toka kwa USM Alger hasa akiwa ugenini.
Ikiwa Yanga atatwaa hilo kombe mnipige ban ya siku moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.