wewe acha unazi usio na maana mhariri ana kosa gani hapo? kila siku unataka usikie positive information kuhusu wanachama na chama cha chadema,waandishi wakijaribu kutoa mtazamo negative kwa chama chenu mnaanza kulalamika bila mpango. mimi nakwambia kitu kimoja dogo pale kateleza aombe radhi kwa...
mbona unasema tu hana uwezo ila hautoi sababau zinazokufanya umuone hana uwezo,vijana wenzangu acheni majungu yasio na msingi. kila mwenye akili timamu anajua kuwa january makamba ni kichwa kizuri kinachoweza kufanya mambo mazuri kwa watanzani. unafikiri yeye malaika mpaka akose mapungufu? acha...
ndugu zangu tuache siasa lowasa bado anafaa kushika madaraka makubwa ya nchi,ni mtu jasiri na mwenye uwezo wakufanya maamuzi yenye tija kwa taifa. Tumuache apambane ndani ya chama chake kwa haki siyo kwamaneno yakutunga yasiyo na ushahidi,angekuwa mwizi asingekuwa uraiani wezi wapo segerea na keko.
mimi ninavyojua Hamad Rashidi ni mtu makini sana, kama atafanikiwa kuanzisha chama kitafika mbali na kinaweza kuwa mkombozi wa kweli wa Mtanzania. Unajua wanachama wengi vya siasa Tanzania ni mashabiki wasiopenda kufikiri kwa umakini kupata ukweli wa viongozi wao, wanachojua ushabiki tu...
jamani tuwe makini na baadhi ya posts hapa JF, Hivi huyo mtoaji rushwa mtarajiwa kwanini hawakumripoti ktk vyombo husika ili sheria ichukue mkondo awke? tuwe serious jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.