Habari wana jf
Leo nimepokea tathmini ya kile kilichofanyika jana 29/01/2022 Mlimani City kutoka huko zanzibar.
Wanachama wa ACT wazalendo hadi sasa wamegawanyika, wapo ambao hawakubaliani na mh Juma Duni na wengine hawakubaliani na hamad massoud.
Wapo wanaohoji juu ya demorasia ya ndani ya...
Habari wadau.
Twende kwenye mada.
Nataka kuanza kufatilia visa ya kuingi U.S.A, je gharama yake ni bei gani. Na gkama kuna anaejua gharama inatokana na nini na nini. Ili nipate total cost hadi nakamilisha kila kitu kihusucho viza. .
Pia ningependa kujua vitu gani visikosekane kwenye kuomba...
Habari zenu wakubwa na wadogo zangu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali..
Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya msingi/inayokubalika kisheria?
Na
Kama ni kosa je adhabu yake ni nini?
Kwa wanaojua wanifafanulie.
Habari zenu wanajukwaa.
Naomba kuuliza swali kwenu.
Je, naweza kumshitaki aliekua mpenzi wangu kwa kosa la kunitapeli kipindi cha mahusiano yetu kwa kitumia uongo kwa lengo la kufanya utapeli huo?
Kwa ambao wanaweza kuchangia naomba ufafanuzi?
Habari kaka na ndugu zangu,
Nimekuja na swali kwenu wanajukwaa nataka kujua kuhusu pete ya uchumba. Sasa nimeingia kwenye penzi la kweli na tunahitaji kuvishana pete ya uchumba. Binafsi mimi ni mgeni sana kwenye suala la pete, sijui hata naanzia wapi, mpaka najiuliza, kwani pete yenyewe...
Habari zenu wana jamii forum.
Pili poleni kwa msiba wa kitaifa.
Nimekuja kwenu kuiongelea ishu ilotokea juzikati kama kichwa cha habari kinavosomeka. Bila ya shaka ishu hii inamuhusu afande sele na mungu na sheikh nurdeen kishki na mungu wake (allah)
Nimefanikiwa kuzisikiliza pande zote mbili...
Habari wana JF,
Nimekua nikishangazwa kwa nchi yetu ya Tanzania kuangalia maudhui ya saana ya Kitanzania kwa lengo la kulinda maadili ya taifa hata heshima ya ndani na nje ya Tanzania.
Lakini kinachoshangaza tamthilia kama ya Money Heist inauzwa Tanzania na ni halali kuangalia. Huo ni mfano...
Natafuta mwanamke ambae ambae tutafikia hadi kuoana na kuishi kwa amani
Sifa
Awe na umri kuanzia 23 hadi 29
Awe muislam
Awe na hof na mungu
NB:
Rangi na kimo sivipi kipaombele. Sio lazima awe anafanya kazi lakini akiwa mchapakazi itanipendeza zaidi
Mimi ni
Mrefu
Mweupe.
Nafanya kazi ( ukija...
Habari watu wa jukwaa hili,
Kama swali langu linavojieleza naomba msaada ,
Mimi ni kijana na sijaowa, imekua kawaida kwangu ninapokua karibu na mwanamke ambae ni mpenzi wangu na nikawa na hisia nae yani nikadindisha basi hutokwa na maji maji colourless, mepesi kiasi, na hutoka bila mm kuhisi...
Habari zenu wana JamiiForums,
Kama tunavojua leo ni siku ya maadhimisho ya sherehe za muungano wa Tanzania.
Muungano huu unajumuisha pande mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika.
Vijana wengi sasa hivi wanaelewa kuwa muungano huu ni wa zanzibar na tanzania bara na kulisahau jina la...
HAWA NI KINA NANI???
UZI [emoji116]
Siku za hivyi karibuni utakuwa umekutana na video za hawa jamaa ambao kila mtu amewapa jina lake : wengine wanawaita kamati ya roho mbaya, wengine wajuba na majina mengine mengi. [emoji19]
NI KINA NANI?
Jamaa wanatokea nchini Ghana, ambako ni utamadauni wao...
Wadau naomba msaada wenu kwa hili.
Ninataka kusoma pharmacetical science diploma na najiunga diploma kwa credit zangu za
D = biology
C = chemstry
Na credit nyengine mbili zisizokua za science ambazo ni
D= geography
C = English
Kisha zipo credit nyengine lakini sio
Physics wala mathematics.
Je...
Wadau wa JF naomba nipate official website ambayo ntaweza kudownload movie ya CHALTE CHALTE 2003. mana nikijaribu kuutafuta napata triler. Naomba msaada kupata web official ya movie ya chalte chalte 2003.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nataka ni download movie ya kihindi inaitwa chalte chalte 2003. Nimeshindwa kuipata, nimeambulia triler tu. Wadau Naomba msaada wa kujua ni website gani nitapata kudownload full movie ya @chalte_chalte_2003
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.