umeongea ukweli kabisa.
Tatizo lingine wanaume wengi hawajiamini na hawajui maandiko yanasemaje, kama mwanaume unajiamini kweli huwezi kuogopa kuoa mwanamke kisa elimu yake.
Mi hata sijakielewa hiki chuo, wanafunzi tayari wameshaanza kusoma waajiriwa wapya hawajaitwa na haijulikani ni lini wanaita, au kuna mtu ana taarifa mpya?
Dr. Magufuli ananichanganya sana alisema TANELEC ni kiwanda cha ngozi atatengeneza viatu na mikanda vile vile alipofika kyerwa kagera alisema madini bati atajenga kiwanda cha mabati kuhakikisha madin ya bati yanabaki pale pale ili watengeneze mabati ya kutosha, kwanini wawakilishi wake wa sehem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.