well i guess getting a jobb nikazi kuliko degree cz i hv a degree ya law lakini hamna ajira au ndo kujuana hata sielewiii maisha magumu kwa graduatsss nyumbni mwentu wanatuona tumesoma tunsaidie lakinii badala ya kusaidia bado tunasaidiwa na wazai cz hamna ajira unahangika kila siku asubui...
natafuta kazi nimemaliza degree ya sheria mzumbe university mwaka huu sasa natafuta sehem niweze kujifunza mpaka nikianza law skul mwanza wa mwaka kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.