We unamanisha nini? Jimbo la kakonko ni wilaya mpya ya kakonko ambayo imetokana na wilaya ya kibondo kule kigoma.
kabla lilikuwa jimbo la buyungu lina Kata 13, kwa mpango huu wa tume, je wamegawa jimbo la buyungu lenye kata 13 ili kapata jimbo la buyungu na jimbo la kakonko?
Au wamelibatiza...
Chadema, wamsikilize Afande sele, ikifikia hatua hiyo chadema, itakuwa imeisha!
mbeya mjini ccm mkilichukua hill jimbo nitaacha kufuatilia siasa, hats ikiwa mbilinyi hajafanya chochote, vipi majimbo ya mtama, bunda, kyela, urambo, bariadi kuna kitu kimefanyika?
1. Hao Polisi walikwenda kutekeleza ilani gani unayosema na kumaanisha? Kwani jeshi lina ilani au ni ya chama cha mapinduzi? Na kumbe ilani yenyewe ni ilani ya kuua RAIA?
2.Inakuwaje kila siku mnakuja na nyimbo za kuua raia kwa bahati mbaya? Hilo jeshi hamna kitu lijitazame upya, haya mambo...
Heshima kwenu wadau!
Jana katika mazungumzo yangu na marafiki zangu nilipata kusikia hoja ngeni kwangu, rafiki yangu huyu anadai 90% ya wanandoa wanaotumia usafiri wa pamoja kwa maana ya gari lao waendapo kazini au kwenye shughuli zao asubuhi hawaonekani kufurahi wala kucheka.
Ina maana kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.