Huyo rahisi sana tena endelea hivyo hivyo upo kwenye right path. Ila sasa kwa kuwa umesema unakaa nate nyumba moja, fanya mawili. Mfanye aku miss,, Potea kwa siku kama 3 hivi ukirudi utaona.
Ama mtie wivu, tafuta demu mkali kuliko yeye hata kwa kumkodi kwa dakika 5 tu. Nenda naye kwako ukiwa...
Kama kweli kulikuwa na mpango wa namna hiyo, sidhani kama Yanga ingetolewa mapema. Nani hajui kwamba Yanga au Simba zinapotolewa mapema mapato hupungua??
Think.....
Ndugu Insider, hongera kwa hadithi nzuri. Mimi baada ya kusoma na kufuatilia, miliona sentencing fulani fulani mahala fulani.
Mfano:
Kuna episode moja ulieleza kuhusiana na huyu Mama Janeth na mambo ya vita vya Ukraine/Russia. Vita hii ilianza Feb last year..
Na kwenye episode hiyo hiyo...
Akina mama toka wilaya za Mkalama na Iramba kwa mamia na maelfu Leo wamefanya maandamano makubwa hapa Shelui kulaani vikali kauli ya mgombea Urais wa ukawa ndugu Lowassa kwamba akipata Urais atamwachia huru Babu Seya.
Huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbali mbali kama vile " Lowasa...
Tuanze na Hili
Siku za hivi karibuni neno mfumo limekua maarufu sana, hivi huwa lina maana gani hasa? Je chadema hawana mfumo? Na kama wanao ni mzuri au mbaya? Umepimwaje? Aliyeanzisha chama ni Edwin Mtei na ndiyo mwasisi wa Chadema na ndio Mwenyekiti wa kwanza wa Chama hicho, Mwenyekiti...
Kama umati uliofika Jangwani leo watampigia JPM kura ina maana kwa Dar Ccm na ukawa watagawana kura na kupishana kdg sana.
Tatizo ni huku vijijini ni CCM tupu! Hapo ndipo mtu atapotezwa mbaya kabisa! Siasa ni hesabu na huwa hazipngopi.
Tuonane October 25.
Imechapishwa: 20 Agosti 2015 Mavumbuo: 70
MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema ujivuni wa fedha sio mali kitu, kwani mtu anaweza kununua watu wachache kwa tamaa na njaa zao, lakini hawezi kukinunua chama chote.
Pia, amesema wana CCM wasihofu kwani mtu anaweza kuwalipa watu...
Kasi ya URAIS ya Mwigulu Nchemba kijana wa "Mabadiliko ni Vitendo "Kusababisha kuondolewa nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu.
Naibu Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ambaye kwa tafiti inayovuma kwa sasa nchini aliongoza kura ya maoni kwa asilimia 38 ya watu wakitaka agombee Urais na kufuatiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.