ni vizuri kudhubutu,hongera zako nyingi ila usijione ndo umefka na kuanza kubeza wenzako wa ustawi au kusoma kwako sheria Mzumbe ndo unaona umemalza kila kitu? acha kuwa na fikra za kitoto angali humtu mzima.Watu mliosoma sheria sitaki kuamini kama ndio upeo wa mawazo nafikra mlionao.... acha ubwege
vita hii imefika mwisho kwa sababu ya makubaliano yaliyopatikana ambayo hapo mwanzo yalikuwa yakileta kutoelewana kwa pande zote mbili, napongeza uamuzi huu na kupuuza wale wote wanaomuona mtu yoyote aliyeshiriki kwenye vita hiyo (kinega) kama bendera mfata upepo. mwanaharakati hupigania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.