Mkuu hebu kasome kwenye website kwanza upate maarifa. Mimi nina kundi la watu ambao wanachukua visa nje ya nchi mara kwa mara. US consulates ni universal. Nenda kasome kwenye website wamelielezea vizuri hilo upate maarifa
Habari wakuu,
Nahitaji kwenda msumbiji maputo kwa njia ya barabara (bus).
Ushauri wenu wakuu na wazoefu huwa mnafanyaje fanyaje? au ni gari zipi zinaelekea huko?
Naomba kuwasilisha.
Wakuu habarini?
Kwa waliowahi kwenda Dubai from Tanzania utaratibu wa visa uko vipi? embassy wamesema hawatoi ila diplomatic visa pekee, sasa naweza kukata mwenyewe online? Au lazima nitumie travel agencies? waiting time? processing time?
Naombeni mnijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.