Wakuu habari zenu, nina miezi 2 toka nioe.
Cha ajabu mke wangu kila ifikapo tendo la ndoa anadai anaumia na hata tukisex anataka bao 1 tu nikiongeza la pili anaumia tena sana.
MSAADA WAKUU MAANA SIELEWI.. Na ana ujauzito wangu wa miezi 5 sasa.
Habarini wakuu,saa 3 usiku wa leo nlihamisha 8500 kutoka airtel kwenda sportpesa, bahati mbaya nimekosea codes pesa ikaenda pasipojulikana. Nawezaje kuirudisha pesa yangu? Msaada wakubwa zangu.[emoji120][emoji120].
Hii hapo chini ndo text iliyokuja immediately nlivyofanya muamala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.