Kuna nyakati unaweza kupitia katika biashara yako ambapo unaona unaelekea kuanguka vibaya sana na bado unafamilia na bills nyingine. Inaweza kuwa sio usimamizi mmbaya ila labda ni factors za hali ya kiuchumi na factors nyingine ambazo hata wewe haulewi mambo yamekuharubikiaje.
Inapelekea sasa...
Vp wana ndugu,
Nafikiria kununua BMW x3, ningependa mniongoze faida na changamoto za kuwa na gaira aina kama hii.
Na mengine mengi mtakayoona yanafaa kuhusu gari hili tungependa kuyasoma yote na wana JF walioko concerned.
KARIBUNI
N the space of 24 hours for Manchester United:
Reports that the Glazers aren't now selling up
United fans' favourite CB gets injured
3-1 loss to Arsenal
ten Hag calls out £73m Jadon Sancho in an interview
Sancho responds on social media, basically calling EtH a liar
Evans and Maguire reunited...
Kila sehemu kuna utamaduni wa malipo.
Kuna sehemu unawalipa kwa mwezi na kuna sehemu mnakatana kwa kila mtakalo liosha, etc
Sasa sijajua utamaduni wa malipo kwa upande wa dsm, vijana wanalipwa kwa style gani.
Hello Wana Tunduma,
Kwa uzoefu idea ipi ya biashara kwa mtaji wa 25million, itanimwagia faida nzuri na kubadilisha maisha yake kwa muda ujao.
Karibuni...
Wakuu, nina uzoefu na haya maspanners, fix, ring, sockets, power handles etc.
Nafikiria kufanya biashara ya kuuza haya maspanners aina zote jumla na reja reja pale Kariakoo.
Je, hii idea iko sahihi au itakuwa slow kwa kuwa nime-specialize sana kudeal na spanners tu?
Labda ni kuongezee nini...
Vp wakuu, kuna fremu ya 650k/m floor ya kwanza kutoka chini, ni mtaa uliochangamka.
Kutokana na kodi kubwa, inabidi mauzo yachangamke.
Vp saikolojia ya wateja wa k.koo, licha ya kuwepo na mduka chini, huwa wanapanda ngazi?
Au ile movement kubwa ya k.koo hupelekea hata maduka ya ghorofani...
Happy new year everyone.
Kutokana na budget yangu sitakidhi kodi na vilemba ya k.koo.
Ila bado budget yangu inakidhi kufunga mzigo nje ya nchi na kufungua duka lililo sheheni bidhaa nyingi na kisasa za cosmetic.
Sehemu gani Dar es Salaam, nikifungua hii biashara sitauza sura tu bali...
Hello wajuvi na wajuzi, watoto wa mjini, watoto wa kariako, mlio invest kariakoo..etc
Nafikiria kupata frem na kufanya biashara ya mikoba, viatu..etc
Siku zote katika kila jambo kuna pande zaidi ya moja. Upande niliopo mimi ni wa kuwa tayari kuinvest pale lakini pande ya pili sina ufahamu...
Habari wanazengo,
Kutokana na gharama kubwa za undeshaji wa pharmacy inatakiwa niuze kwa wingi ili ni cover costs zake na maisha yangu pia.
Je, investment ya pharmacy ya reja reja eneo lenye mzunguko, naweza kutengeneza faida laki moja na zaidi kwa siku. Au hii business itanipa changamoto...
Hello wanajamii,
Ninataka nizifanyie kitu hizi 25million (after taxes, rents and fees) pale mjini Dodoma. So nilipata options tatu ambazo kwa kupitia uchambuzi na miongozo yenu inaweza kunisaidia nikachagua lipi.
OPTIONS ZENYEWE:
1: Hardware ya vifaa vya ujenzi kama vile pliers, bisi bisi...
Hello wanajamii mnoishi Dodoma, ningependa kujua bei ya material hizi za ujenzi.
1. Gypsum board gyproc
2. Gypsum board bbg au ya china yoyote
3: Tiles 40 x 40, 25 x 50(45) za twyford au goodwill
4. Gypsum powder kampuni yoyote..
5. White cement j.k
6. Silk paint10 na 20
Wote tunaelewa Kariakoo ndio centre kubwa ya biashara jijini Dar es Salaam.
Kodi ya fremu isizidi Tsh 4,000,000 kwa mwaka, je ni maeneo gani tofauti na Kariakoo.
1: Yana movement kubwa ya watu
2: Yana sifa ya kuwa centre
3: Soko la wateja wenye aina tofauti ya kipato (high, mid, low)
Karibuni.
Conversation inaanza hivi:
GIRL: Siku ile nilipokuja kukusalimia ndio nilikuona vizuri
BOY: Yeah ni kweli, (kwa utani) lakini si uliniona jinsi nilivyo mzuri kama wewe hahahah
GIRL: Hahah hapana wewe ni mmbaya kama mimi hahaha
BOY: Ni bora wote tuko wabaya ili asitokee wa kumlingia mwenzie...
Habari wana Ndugu,
Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya uwezo wangu.
Nina Tsh 14 million (hapo nishatoa gharama za kodi ya frem, urekebishaji wa frem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.