Kwa upande wangu naona kwa wale wanao mcha Mungu wanapaswa kumuomba Mungu sana ili aweze kuwajulisha kama wale ambao wana mahusiano nao wanawapenda au la, kwa wale ambao bado wapo ktk mahusiano nafikiri wanapaswa kuchunguzana kwa muda mlefu sana kabla hawajaanza kufahamiana kimapenzi. Mahusiano...
Ktk maisha tulio nayo, vijana wengi tumekosa muelekeo kwa sababu ya kujihusisha ktk masuala ya kimapenzi hali hatujajianda na hatima yake tumekuwa ni watu akulalamika kwamba tatupendwi wengine wanadiliki kusema wanamikosi .Leo naomba tuulizane hivi utajuaje kama unapendwa na mwenzi wako?
Usipozungumzia masuala yanayoiathiri nchi yako unaaaaaafikiri ni nani atakaye zungumzia masuala hayo?kumbe kuna sabababu ya kulizungumzia suala la ushoga kwan linakuja na athari nyingi ikiwemo kuvunjika kwa utamduni wa kitanzania ambao kwao tumeweza kuongeza pato la taufa kupitia ngazi ya utalii.
Kwa kweli unastahili pongezi kwa kutoa mchango mkubwa ktk suala zima la kuuelimisha umma dhidi ya viongozi ambao wanaanza kuonesha jinsi ambavyo wamejitoa kupambana dhidi ya mabeberu tulio nao hapa kwetu nchini Tzania.Ni dhahii kwamba hata ndg zetu waliofungwa jela hawkufungwa kwa sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.