jamani sijamuona cantalisia hapa, kwanza habari zenu, huyu bint ni mjukuu wangu haswa, na alishawahi kuja na katatizo hako hako eti kwa nini chungu tamu na tamu chung, nikamwambia mjukuu wangu hapo sasa umekua, usijeahirisha penati refa akisha weka mbwembwe zake ndani ya 6 badala ya mpira...
ha ha ha ha!!! oooooops! unanikumbusha zamani sana mjukuu wangu na kale ka nahau "ya msema kweli?!!" teh teh teh teh !!! hawa wajukuu wamegeuza siasa kuwa hali halisi ya maisha, wanajua ni ngeli zako tu!, mjukuu nwangu, alielala mwamshe mara moja asipoamka tangulia mbele, tah tah tah !!!
mi naona wanangu, hoja mnazo tetea ni kutaka kwanza asikilize upande wa pili, sawa kabisa wajukuu zangu, hili alishalitambua mwenyewe na alilifanyia uchunguzi mfano mabadiliko kwani alishasema he was being cheating by huyo wake kwa kuanzia kipindi cha mabadiliko yake ya kupm wanaume wawili kama...
mh! pishi limeshaiva mjukuu wangu! wasubiri lipoe wakati wajua ulichopika ni supu ya mbwa utainywa baridi wewe?!! teh teh teh!! mjukuu unataka suruhisho la kushea mapenzi au? teh teh! wajukuu wangu bwana, eti umuulize mwizi ameiba kweli?!! teh teh te!!!!!
mh! mjukuu wangu! usizime moto kabla hujamaliza mapishi, mimi na bibi yako tumekuangalia na kugudua pishi lako halijaiva, vigezo na masharti kijana, tupe notice za kutosha, walisimamia vipi?, ili tuchangie la kwetu kulingana na mchango wao huo! teh teh teh!!! hawa wajukuu bwana! ila...
wajukuu zango hamjambo?!! mmmmh!! hapa "mchelea mwana kulia" maumbo ya mtu kwa jinsi yalivyo kwa wakati huashiria taarifa fulani kuhusu mtu huyo, lakini hili la nyele kifuani au ndevu wajukuu zangu halihusishi personality ya mtu, ni vile tu alivyo na accesss kubwa ya viotea nya mwili au udogo...
we nasdaz na wengine wajukuu zangu wote kumbukeni ya kale kwamba mapenzi ni popote kwa hali yoyote, ila ni pale tu kila mtu anapojitoa moyo wake kwa mwenzie, hakuna lishindikanalo katika wapendanao, teh teh teh!!! mmenisoma wajukuu zangu?!!!
nyinyi wajukuu zangu hasa wewe smile si juzi tu mmekuja kwa bibi yenu na ka ugomvi kenu eti mmeo huwa anakuaga anakwenda kwa bishanga atachelewa kurudi sababu usafiri wa huko kwao ni tabu ukajaa sumu eti anachelewaga sana, mjukuu si umeolewa wewe? hebu njoo mama yako mkubwa anakuita akuonye na...
nyinyi wajukuu zangu hasa wewe smile si juzi tu mmekuja kwa bibi yenu na ka ugomvi kenu eti mmeo huwa anakuaga anakwenda kwa bishanga atachelewa kurudi sababu usafiri wa huko kwao ni tabu ukajaa sumu eti anachelewaga sana, mjukuu si umeolewa wewe? hebu njoo mama yako mkubwa anakuita akuonye na...
lori hilo lilikuwa na abiria hivyo lilipoacha njia likapinduka au lilipoacha njia likajimuvuzisha kwa wabongo waliokuwa katika mishe zao? hebu nijue hapo wadau, coz nataka kufanya comment na iziraeli apunguze kidogo coz mwaka mpya umekaribia.
mi si niliwaambia hata kipindi kile kaja kuomba chumvi dirishani nilimnyima akagoma kuondoka nikaandamana na wanangu ndo akasepa, shauli lenu, mabomu kidogo tu eti mnatimua mbio loh! hayo maandamano mtayaweza kweli?
kupeng'e una roho ngumu sana, wenzio wanasotea haki zao na pengine zako hapo baadae coz sijui upo wapi ivi sasa afu we unawaambia wamebip wamepigiwa! that's not good, kosa lao lipo wapi? kosa ni la ' mfalme jh' kwani ana mipango lukuki kila kukicha, utamsikia leo kwa jilani kesho kijiji cha...
aisee!!!!!!! fantastic avatra, lakini hebu turdi na nyuma, ivi ni mtu tu akijiskia kuongea kwa manufaa yake anaongea tuuuuu au ni mipango ya serikari, na kama ni ya serikari basi .com, hadi wanafunzi?!!! afu eti uwape wa mwaka wa kwanza unataka kupunguza wasomi ili nchi ui.com vzr! hiyo sera...
afadhali wewe coz mada ya excellent afu ukimtaja roma mwake kabisa, napenda ungenitumia baadhi ya mistari yake ambayo unafikiri ni kwa nini umempost hapa ingekuwa pouwa.
aaah!!!!!! habari yako daughter!!!!! naona upo kwenye milazo ya ma song! lakini poa ebu angalia signature yake mi kama naona kitu fulani hapo kulingana na mada aliyoitoa au we unaonaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.